hiyo story yako inafanana na yangu ilikuwa ni 2007 January ila sisi gari liliaribikia maeneo hayo hayo mida ya saa sita na kifaa walisema arusha ndio karibu bahati nzuri kuna Kia ya wachina wakijenga hotel tulipata lift kwa 5000 hadi karatu nililala karatu asubuhi niliendelea na safari
sio hosp haina pesa ya kununua panadol sera ya manunuzi ni lazima MSD
ukosefu wa dawa upo sana unaweza ukawa na panadol huku syringe hakuna
hosp za wilaya zinachangamoto hizo
issue unaenda kufanya nini
lazima wakuoji migration
Mara ya kwanza naenda cm ilizima chaji so sikuwa na address kichwani ilibidi nipige chabo kwa wahindi nilibadilisha no Tu
ikabuma ikabidi Ni charge cm nipate address na hapo Ni mpaka WA south Africa na Botswana before kwenda make sure Una...
kwa bus gharama zinaweza zidi ya hapo na kutumia mda mrefu
njia rahisi tafuta ticket ya fast ya johanesburg ukifika airport. Saa 6:30 mchana Kuna bus ya kwenda Gaborone Ni masaa sita ILA mipaka ya Botswana wapo vizuri angalizo usibebe bidhaa za kuuza bila kibali PIA mpakani wanauliza hadi...
Lugha sio tatizo nilikuwa gaborone live band walipiga nyimbo za kiswahi sina makosa watu walicheza sana na kuimba
relative wa rafiki yng alishangaa naujua huo wimbo nikamwambia ni wa Tz akasema naupenda ingawa sijui maana yake. Vanessa lugha sio tatizo ni wewe hujui soko la ndani linataka nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.