Hawa jamaa wanachekesha umma...yaani wanafanya kaz ya kubahatisha tu namba za watu na kuwa tumia meseji! Ipo siku watamtumia hata mke wa waziri mkuu...!
Ujio wa Xi uwe chachu ya kupanua wigo wa kibiashara kati ya nchi hizi mbili. Lakini pia atuambie sera za nchi yake kuhusu kumiminika bidhaa feki nchini humu kutoka China, anampango gani??
Acheni kumdanganya mwenzenu! Me mtoto wa kaka yake babaake shangazi yangu anafanya huko...ameniambia take home ni tsh 3092575 ila wanampango wakuongeza 15%katkat ya mwez huu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.