Search results

  1. M

    Je, ni biashara gani Mtanzania anaweza kuifanya nje ya nchi (export)?

    Kuna bidhaa nyingi tu zinazotoka kenya kama bamia, chai. Uganda wanaleta ndizi, viazi vitamu unga wa ulezi unga wa sembe. Kuna maembe. Ila kwa ipande wa Tz bado.
  2. M

    Je, ni biashara gani Mtanzania anaweza kuifanya nje ya nchi (export)?

    Sisi watanzania wengi tunapenda kufanikiwa overnight. Hatupendi kufanya research kupata information hasa kwenye mitandao kuna taarifa za kutosha kukufumbua macho na kukuonyesha njia. Kuna vijana niliona wako nafikiri Moshi au Arusha. Wanawawezesha wakulima wadogo wanalima kunde mbichi wana...
  3. M

    Bila kadi hupandi mabasi ya mwendokasi kuanzia August 1

    London kama huna kadi hupandi basi...kama ni mgeni kuna maduka unaweza kupata kadi ya kutumia siku moja tu kwa safari zako. Wakazi wote wana kadi maalum zinajulikana kwa jina la Oyster card...unaweza ku top up kwenye maduka au train station. Madereva hawapokei kabisa pesa hii system iliisha...
  4. M

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Sote tunakubaliana na mfumo mbaya wa elimu..including Tndu Lissu. Sasa yeye kama kiongozi mmojawapo wa chama cha Upinzani anasemaje juu ya kurekebisha mfumo huu mbaya. Watanzania wengi hawana uwezo wa kuwapeleka watoto shule za private hasa vijijini. Lazima kuna sababu za msingi za yeye...
  5. M

    Love story (True story)

    Hawa wanasiasa wana uzoefu mzuri tu wa kukabiliana na mambo kama haya..hivyo sidhani kama inaweza kuwa na impact kubwa kwenye position yake. Jamaa atapangua tu ni mwanasiasa ingawa bado mchanga lakini pia ni msanii.
  6. M

    Love story (True story)

    Huyu Faiza anajua anachokifanya. Kuandika kitabu sidhani kama ni makosa hata Sugu aliandika kitabu cha historia ya maisha yake na wabaya wake aliwa highlight..pamoja na mademu aliotoka nao including alivyoachwa na mtoto wa waziri mstaafu. Aliandika pia kuwa majani alikuwa akipata. Hivyo...
  7. M

    Hivi Itakuwaje CHADEMA ikichukua Nchi?

    Na wenyewe wataota magamba na baada ya muda mfupi tu watatangaza kuvuana magamba.
  8. M

    Sugu ni play boy??

    He hivi kumbe jamaa aliishaoa kwa siri Marekani...noma
  9. M

    Sugu ni play boy??

    Sugu msanii na Faiza msanii ngoma droo..mnasemaje
  10. M

    Mbunge Joseph Mbilinyi (SUGU) ataka TRA wamtoze kodi RICK ROSS show ya leo...

    Tusilaumu tu hao watu wa nje kutokutoa kodi, maana mfumo mzima wa kutoa/kufuatilia kodi ni mbovi nchini. Wengi wa wafanya biashara na wanamuziki wa nchini wanataoa kodi inavyotakiwa? ...hao wabunge nao hatuna uhakika kama wanalipa kodi ipaswavyo, wana miradi mingi, magari ya kifahari...je...
  11. M

    Siku mungu atamke kwa binadamu wote "fuata umpendaye kwa dhati"

    Najua kuwa Mungu hafanyi kazi kwa amri za binadamu. Ila nimekuwa nafikiria hivi kama kitu kama hicho kikitokea ni mfano tu...don't take me wrong, just being curious about this...
  12. M

    Siku mungu atamke kwa binadamu wote "fuata umpendaye kwa dhati"

    Sina pepo lolote lile, ila nimekuwa nikisoma thread nyingi humu ni malalamiko mara kanikimbia mara hanitaki, na wengine wanawakubali watu ili mradi tu. Mimi ni mcha Mungu, ila hivi ikitokea kama Mungu akaweka hiyo option basi kutakuwa na mifarakano mingi tu.
  13. M

    Siku mungu atamke kwa binadamu wote "fuata umpendaye kwa dhati"

    Itokee siku moja Mwenyezi Mungu atutamkie viumbe wake kuwa kila mmoja wetu amfuate yule ampendaye kwa dhati toka moyoni. Hata kama uko kwenye ndoa/mahusiano kama mpenzi/mke/mme wako ndiye basi baki hapo hapo, lakini kama siyo basi mfuate yule ambaye moyo wako unampenda kwa dhati. Nafikiria hivi...
  14. M

    Hivi tanzania tuna wabungeee?

    Wabunge wapo kwa idadi ya namba, lakini wawakilishi wa wananchi hakuna. Wengi hupiga kelele kwa manufaa yao zaidi, hakuna uwakilishi wa kutatua matatizo ya wananchi. Wanangojea majanga yatokee ndipo waanze kupiga kelele zisizo na mpango.
  15. M

    CCM na Mategemeo yao JKT

    Hii imenikumbusha mbali sana, miezi sita hadi kufika rank ya uservice ilikuwa kama miaka. Kuna maafande wengi walikuwa wanapenda kusimamisha milingoti na makuruta usiku jambo la kujihadhari sana. Hii intake ya kwanza na hao jamaa wana kiu mbovu.
  16. M

    Uingereza miaka kumi lakini bado Maimuna

    Hata mtoto mdogo anapojifunza kuongea lugha yeyote huanza na sentensi mbovu mbovu na hatimaye hunyooka. Watoto kutokana na kutokuona aibu hujua mapema mno lugha kulinganisha na watu wazima. Hivyo lugha ni mazoezi ya kuongea hatimaye utaifahamu vizuri.
  17. M

    Utamaduni hazina - ukihamia Bukoba utakutana na hii hapa

    style ya unywaji pombe ndiyo utamaduni unaoelezewa kibuyu na mrija. Kama mavazi zote ni nguo kihifadhi mwili ila tofauti ni mishono na materials za nguo, wengine ngozi, vitambaa nk.
  18. M

    Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

    Na yeye Zitto pamoja na elimu yake pengine hakuwa makini kuipitia hiyo budget kabla ya kuiwakilisha bungeni kwa kuwa naye pengine aimeishaona udhaifu wa bunge ambalo limekosa watu makini, kama angelifahamu hili basi kabla ya kuiwakilisha angeipitia kwanza kwa umakini. Bunge letu limejaa watu...
  19. M

    Wabunge wakielekea bungeni mwaka 1984 (enzi za baba wa taifa)

    Hali ya uchumi inapokuwa mbaya hakuna budi kujinyima na ikiwezekana kuishi kama zamani. Kama ulizoea kula na mboga tatu pesa ikipungua sioni ajabu kurudi kwenye mboga moja na kula nyama mara moja kwa wiki badala ya mara tatu. Enzi ya Nyerere tulikula unga wa yanga kutokana na hali mbaya...
  20. M

    Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

    Naunga mkono uchambuzi wako. Pia kuna kipindi waziri mmoja aliwahi kusema kuwa wabunge wangi wanashindwa kuielewa budget kutokana na lugha na hata lugha yetu ya kiswahili pia kinawawia vigumu kuelewa. Pia nina mashaka hao wabunge kama huwa wanasoma kwa makini hiyo budget, nahisi hata wanapopiga...
Back
Top Bottom