Mambo ya Tanesco yanataka kuja na huku, nasikia Tanesco kuna software (ERP software imekodishwa kwa $30million) hivi eGA hawawezi kudevelop hizi applications kweli?.
Kumfananisha Pole pole na mwalimu Nyerere ni kumpa sifa ambazo hana, polepole ni kijana mzuri na anaweza kuja kuwa kiongozi mzuri huko mbele ya safari ila bado ana mambo mengi ya kujifunza, pia kiongozi wa ngazi ya Rais anatakiwa awe na sifa nyingi lakini miongoni mwazo lazima awe na;
Busara...
majibu ya namna hii hutolewa na watu wenye ufinyu wa mawazo na uwezo mdogo wa kufikiri, mtu makini huwezi kuendelea kujadili jambo na mbumbumbu, na kwa kuwa nimegundua hili sitajadili tena jambo hili na mtu asiyetumia kichwa kufikiri.
haya mambo tusiyaombe yakukute, tumpongeze hata huyo Lissu kuweza kuyakabili, Mungu mwenyewe atupe moyo wa huruma na upendo, katika hii dunia sisi tu wapita njia.
Asante sana, kama wenye mamlaka wameshindwa kuwajua waliompiga risasi mchana kweupe, tena kwenye eneo lenye ulinzi imara na uzio, linalokaliwa na wakubwa wa nchi, kwa nini sasa unataka arudi? ili wasiojulikana waendelee na kazi walioianza?
bodo tu hujaelewa,
kumtuhumu mtawala haimanishi kwamba hawezi kukuhakishia usalama wako, ukituhumiwa kanusha tuhuma kwa kutoa vielelezo na kumhakikishia anaekutuhumu ushirikiano wa kujua ukweli, ikumbukwe hapa mtuhumuiwa sio kwamba ni serikali tu, yaweza kuwa hata wenyewe Chadema, ama genge...
Hapa tuwekane sawa, usikimbilie kuita wenzio pumba,
ngoja nikwambie, kamiminiwa risasi zaidi ya 38 mchana kweupee, watu walimmiminia mpaka sasa hawajulikani, no updates on what is going on, kawa hospital kwa zaidi ya miaka miwili na nusu, anaanza vipi kurudi bila kuhakikishiwa usalama wake na...
Mikoa ya Dodoma na Tabora ni mikoa ambayo imechagua CCM kwa wingi sana miaka nenda miaka rudi, aise kunamaendeleo sana, Maji safi wilaya zote, Barabara safi wilaya zote, Elimu bora kabisa, Hospitali kila kijiji safi kabisa.
Pongezi kwa wananchi wa mikoa hii,
Nipende kusema Mbunge haleti...
Ndugu yangu kwanza nikushukuru kwa bandiko lililobeba utashi wako.
Napenda uelewe kura ama uwamuzi wa kuchagua ni haki ya mtu binafsi ingawa wengine wanaweza tu kumshawishi achague waonavyo wao ila maamuzi ya mwisho kabisa ya kuchagua ni ya mtu mwenyewe. hii imelindwa na Katiba ya Nchi yetu...
"mfano mgeni huyu anatumia lita 6,811 kwa saa" hili jambo unauhakika nalo, kutoka USA mpaka TZ itatumia lita ngapi? kwa muda wa masaa 13 hadi 16? mnapoongea muwe na uhakika. unajua hiyo ni Sh ngapi mafuta tu. hapa kunauongo kabisaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.