SITOI HUKUMU ILA KUNA MAJINA HUMU YANAJINASIBISHA NA UISLAM, KIUKWELI KWELI KABISA NI KUWA NINA MASHAKA NA UISLAM WAO AU WANATUMIA TU MAJINA NA SIO WAISLAM.
mf: kuna mtu kafananisha swala na kukaa darasani kusoma, hivi utasema mwislam huyu, anajua umuhimu wa swala? kuna kipofu alimuuliza mtume...
wakati nchi hii inapewa uhuru msomi wa juu wa sheria alikuwa anaitwa MUSA KWIKIMA na ndiye aliedhaniwa kuwa angekuwa jaji mkuu, badala yake alipelekwa kusoma jaji francis nyalali na alipohitimu ndio akapewa nafasi hiyo
hata tanzania wapo wenye majina ya kiislam lakini ni mashoga ila bado uislam haujaruhusu ushoga na atakayefanya hivo na hakutubu mpaka anaingia kaburini basi adhabu kali ya moto ataipata, nyie ushost umeruhusiwa kanisani sio kosa la mtu mmoja mmoja so kwa kifupi nyinyi ni MASHOST
tatizo lenu hamuujui uislam bali mnabwabwaja tu na haya yote allah keshatuambia katika quran (hawatokuwa radhi mayahudi na wakristo mpaka muwe kama wao) so tatizo letu hatuko kama nyie ndicho kinachowauma na haitotokea kamwe,mfano nyie dini yenu mnaruhusiwa usenge (ushoga) sisi hatuko ivo. aya...
katika uislam kufungwa ni sunna ya nabii yusuph a.s, kuuwawa katika kuipiginia dini ya haki ni kuwa unajitengenezea free pass yako ya JANNAH (pepo) so wamkamate wamfunge wamuue wanachofanya ni kumtengenezea pepo yake tu,umma mkubwa upo nyuma yake na harakati zinaendelea kwani hata ponda...
hii ishu sio ndogo kama inavofikiriwa, quran ndo kila kitu katika uislam, so kwa wasiokuwa waislam kwa kuwa hawaijui thamani ya quran wanaweza kusema kuwa kitu kdg,
jambo jengine ni kuwa wale vijana walianza kubishana kuhusu quran na hatimae ikakojolewa na kutemewa mate udhalilishaji wa hali...
hili swala liko wazi kabisa ni mvutano kati waislam na serikali japokuwa nimeona hapa kuna mvutano kati ya waislam na wasiokuwa waislam, sababu za waislam kupinga sensa hadi dodoso la dini liwekwe kwenye sensa wamezitaja, katika kuthibitisha hilo TBC waliomba radhi kwa waislam. sasa ifike mahala...
chenge kwa kuwa kakosa usipika namshauri ampe uwaziri wa sheria na katiba, mh Lowassa Nishati na madini, Mh sana Rost Viwanda na biashara, awarudishe kina msabaha na yule mwingine wa bukoba mwenye tics kwa kuwa watakuwa wamejifunza bila kumsahau mramba kwa kuwa ni jembe jipya mpini wa zamani.
hayo yote kwa zanzibar yalifanyika, kumbuka uchaguzi wa '95, walipokataa nini kilitokea, 2000 ndo vile tena mauaji ya historia na ccm ikaendelea kubaki madarakani, 2005 unajua kilichotokea unafikiri hata wangekataa 2010 kingetokea nini?
(WAISLAM WATAKUWA NA BUSARA WATAKAPOANZA KULA KITIMOTO )
Mheshimiwa HAPA UMEUGUSA UISLAM SWALA KITIMOTO NI KATAZO KUTOKA KWENYE VITABU VYETI KWA WEWE KUONGEA MANENO HAYO MEANS UNAKIKOSOA, UMEKIKOSEA UMETUKOSEA TAFADHALI KAMA UNA BUSARA TUTAKE RADHI WAISLAM NA UISLAM. NITASHUKURU KAMA UTAKUWA...
mtazamo wangu naona kaweka maslahi ya taifa mbele. halafu tujiulize hivi angesema mimi ndie nimeshinda ccm na zec yao wangekubali? bila shaka wasingekubali na matokeo yake wananchi wangeuana na shein bado angekuwa rais cuf wasingemtambua na na kila kitu wangepoteza kama ambavyo iliwahi kutokea...
Chama cha wananchi Cuf kimeongeza namba ya wabunge bungeni katika jimbo la kilwa kusini, jimbo lile lililokuwa limeshikwa na Mh Asnein wa ccm, yule muhindi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.