Tumeliwa! Mbona naona huyu shahidi wa kwanza wa mashitaka aliye muhimu anakubali hoja za mawakili wa utetezi zenye kulenga katika kuonesha kuwa Mramba hakukosea?
Kitakachotuboa ni pale kesi itakapoanza kupigwa danadana kwa kisingizio eti upelelezi haujakamilika.
Ni bora wakamilishe upelelezi kwanza ili kesi ikianza ni mtiririko wa moja kwa moja, au wadau mnasemaje? Au ni vema waonje rumande kidogo?
Nijuacho ni kwamba Kanumba alialikwa tu kuhudhuria uzinduzi na si mshiriki wa BBA.
Ila la Siwema sina hakika nalo; kama ndivyo basi nina wasiwasi tutaaibika kwani nasikia hana hiyana kuugawa uroda..
Hivi mzee malecela na mama anna kilango wangekuwepo, ingekuwaje?
Hivi wenyeviti hawa tunaosikia wanahofu sana mzee jm wangezungumza kama walivyofanya huku wakijua jm yupo kambi ya six? Natafakari..
Wana-jf tufanyeje? Wanaamua wao, wanafisadi nchi, walio wengi wanabakia makapuku..
Kumbe ndo mana zile sehemu nyingine za dunia, mmoja hujitolea kuondoka nao ili waliobaki waendeshe maisha yao bila kadhia za kifisadi..
Wakati maonevu haya yote yakitokea kwa manufaa ya wachache, sisi wananchi tunafanya nini? Tunafurahia tu kuangalia kama watazamaji wa sinema? Tutajikomboaje?
Nashindwa kuelewa kama Six angeng'olewa na kuwekwa EL au Chenge, mijadala bungeni ingekuwaje?
Kama ni kweli sina hakika kama ndiyo njia kuelekea kugombania uraisi kwa chama chake au la; hata hivyo naomba atoe kipaumbele cha kutokosa kuwa mjengoni dodoma katika kipindi kingine cha miaka mitano ijayo, kwa maoni yangu bado anahitajika sana pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.