Utt amis ni soko la hisa,
Hisa sokoni zinaweza kupanda au kushuka unatakiwa ulijue hilo,na ulielewe
Usije ukaleta fujo,siku unaambiwa mil 10 yako thamani yake imeshuka mpaka 4m.
hadithi za kufikirika
1.Hakuna tapeli mjinga wa kutoa elfu kumi ya soda kila anapokuja kufanya muamala.
2.Hulka ya binadamu lazima ustuke,faida ya muamala mmoja tu haifiki hata 5000.
mathalani mtu akitoa 3,000,000 Faida/Mrejaa/Commission ya wakala ni SH 2500 tu.
mtu akiweka 1,000,000 faida...
Jamaa anamaanisha ukiwa na chako,siku ukikwama utauza ili uweke mambo sawa,ni kama kufuga ng'ombe kule kijijini,mzee akaona mwanawe anaumwa atauza chake ili amudu gharama za kumtibu
Ndio huu mtaa umeenda mpaka kwenye hilo eneo la kiwanja chetu.Ukisimama hapo aliposimama huyo mtoto ukaangalia mbele,unaiona shule ya msingi magomeni.
Yaani bara bara hiyo yenye nguzo inaelekea kwenye lile li uwanja la shule ya magomeni.
Salama wakuu?
Nauza kiwanja Mtwara Mjini bei 6Milioni.
-Kipo magomeni, 1 km kutoka stendi kuu ya mabasi Mtwara.
-kuna banda watu wanakaa
-kipo jirani na chuo cha afya COTC
-Kimepimwa sqm 317 na hati ya wizara ninayo.
-Tambalale,barabara,umeme na maji vipo hapo hapo.
Mawasiliano 0769476225
Itatosha ila hapo sehemu ya parking au watoto kucheza,kuanika mahindi,pumba,unga,senene na sehemu ya kufulia au kupata kamti kakivuli,hiyo sehemu hutakuwa nayo
Jenga nyumba nje ya mji,ukijenga mjini kieneo kidogo utakuja kujilaumu mbeleni umri ukienda na familia imetanuka.Mji utakukuta tu na sio mbali within 5years mji unatanuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.