Bongo kunakera, yaliyonipa mwezio kwenye hilo supermarket usiseme. Nilikuwa likizoni nikaingia dukani, huku nikatoa kamera yangu nilitaka tu kuchukua mkanda short ili kuwaonyeza wenzetu huku waone pia bongo kumekucha maduka kama hayo yapo. Bwana wee!! kaniandama guard mmoja mikwara mpaka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.