Nafikiri kila mmoja ana haki ya kufikiri aonavyo yeye pasipo kumuathiri mwingine katika hoja zinalolihusu taifa. Tatizo kubwa ni kumuona mwenye mawazo mbadala kama msaliti! Kamwe haitawezekana wote kua na mawazo yanayofanana. TUVUMILIANE
Hapa tuache ushabiki wa kisiasa. Kama kuna kitu ambacho JPM atakifanya cha maana, basi ni hiki cha kuhamisha makao makuu kwenda Dodoma! Sababu ni hizi;
Kwanza ni ukweli usiofichika kwamba Dodoma ni katikati ya nchi
Pili, msongamano wa watu, magari (jam), kwa kiwango kikubwa kimesababishwa na...
Hapa tunaongea na critical thinkers nafikiri, wewe ambaye unatukana naomba nikuulize; tunachopambania hasa ni nini? Je huko upinzani ulishawahi kuingia!? Kuna demokrasia huko? Na je hicho kinachopiganiwa ni achievable? Ndugu yangu tafakari sana kabla ya matusi. Bora ng'ombe kasoro mkia kuliko...
Kutokana na hotuba iliyotukuka ya Mwenyekiti mpya wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mimi, Dr. Daud Ng’ida Mollel, niliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, leo tarehe 23/7/2016 natangaza rasmi kujiengua kutoka ACT wazalendo na kurudu...
Kutokana na hotuba iliyotukuka ya Mwenyekiti mpya wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mimi, Dr. Daud Ng’ida Mollel, niliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, leo tarehe 23/7/2016 natangaza rasmi kujiengua kutoka ACT wazalendo na kurudu...
Mdogo wangu Mwigulu, Ubunge na unaibu katibu mkuu wa chama tawala kama CCM ni majukumu mazito sana. Mimi nafikiri unajivunjia heshima mwenyewe kwa hoja zisizo na mashiko. Kama alimwita huyo mbunge wewe kinachokuuma nini? Ama ni mume mwenzio? Hebu hangaika na kero za wana IRAMBA, 2015 sii mbali...
Nilikuwepo kwenye mjadala Nkurumah hall. Mengi ni mkweli na kongamano halikutoa fursa kwa washiriki kuuliza ama kuhoji data aliyokuja nayo waziri mwenye dhamana. Ninashangaa sana watz. tunashnilia nini ktk hoja za Muhongo.
Wana JF;
Huwa sina tabia ya kujikomba kwa mzee wa kaya!.Nakumbuka vizuri ziara hiyo. Mimi nilisafiri na marafiki zangu kutoka arusha kuja kumshuhudia mwenye historia iliyotukuka Madiba pamoja na mkewe Winnie. Nilikuwepo pale Ubungo wakati mataa wakati msafara wa Madiba, Nyerere na Mwinyi...
...Nkurumah Hall!... Nkurumah Hall!...Nkurumah Hall! Together we stand.... Hiyo ni kauli iliyosikika sana miaka ya 80-90 wakati huo jamii ya chou kikuu kilipokuwa chemi chemi ya fikra pevu (Critical thinkers). Nimerudi pale juzi katika kongamano lililohusu rasilimali zetu hususan gesi na mafuta...
Itv ilionyesha speech nzima vizuri sana. Kwa kweli, speech ilikuwa nzuri mno, imesheheni kweli -kweli tupu kuanzia kuwapokea wasouth, kuwahifadhi, kuwakirimu, kuwapa mafunzo, pasi za kusafiria akiwepo mwana wa afrika madiba mwenyewe. Katika hili, nampongeza JK katumia nafasi hiyo kuelezea...
A good analysis;
Challenges at Independence; Poverty, illiteracy, diseases
Challenges after 50 post independence; poverty, illiteracy, diseases, tribalism, grand corruptions, impunity,..., Who will become the Ken Saro Wiwa of Africa? BORA UKOLONI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.