Its Not Hard The more u eat Protein The more Ur Body Need water Meaning unapojaribu kureduce kula starch Mwili unatafuta maji so Mara Nyingi utakua unasikia kiu try its really Good
Wow am so happy for u dear keep on moving if u need a food timetable let me know I know u will make it to the kilo u need nimefurahi kusikia taarifa hizi nzuri
Ushauri hutolewa lakini at The end of everything u will be The One to make your Decision,just know that marriage is not only kuvaa gauni nyeupe kualika maelfu na kuvishwa Pete there is a lot more than that sit him down and talk with him,don't make decision out of age fear cause by doing that u...
Unapokosea Ndugu Yangu ni kula wali usiku jaribu kutokula starch usiku wali Au ugali Au mkate ni Source Kubwa ya starch that One u have to avoid badala Ya kula chakula usiku jaribu kula matunda na maji moto usiku peke Yake yaani Hiyo Jioni Kabla hujalala.
Sumu ni kuruka Mlo kama unataka kupungua na Uwe Mwenye Afya Nzuri jaribu kufuata Masaa sahihi ya Mlo kama ni kifungua kinywa basi Kiwe kwa mda wake wa asubuhi Lunch Pia kwa mda wake wa mchana lakini ifikapo Jioni jaribu kula chakula chako cha jioni Masaa manne Kabla hujaenda Kulala na jaribu...
Siamini kama Hao Wote wamerudi kwa kupenda labda wamerudishwa tutajuaje maisha yanalipa popote kama una malengo kuanzia mwanzo wa Safari Yako Bila malengo Ndio MTU huishia kulaumu lol
Question to Men around Here,unapata Chili ana dem tajiri lakini Hataki kumuomba Msaada anapokua na tatizo hivyo huyo mwanaume anakupenda kweli Au Ndio kusema anaogopa kujishushia hadhi Hebu nisaidieni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.