Ninataka kuanza mradi wa kufuga kuku wa mayai ninatafuta mtaalamu anayejua naman ya kulisha na kujenga mabanda yao. Naomba awasiliane nami kwa no.0713 68 96 65
Nilituma mtu kuninunula washing machine, lakini kwavile ni binti hakuelewa namna ya kutumia. Ipo user manual ila nina shida ya kuona maandishi madogo. Naomba mtu tupatane nae nitampa nauli na kuja kwangu na kurudi na ka asante ili aje anielekeze namna ya kutumia. Hakununulia duka la mjini ni...
Ipo jirani na njia panda ya kwenda tcc club, inatazama bara bara kuuu ya changombe
ina floor tiles na mlango wa aluminium
ina ukubwa wa kutosha duka la chakula, dawa na duka la nguo.
Kodi ni nafuu na nzuri sana na mkataba unaweza kulipa wa miezi sita.
Wasiliana na 0713 68 96 65
Jamani ninaomba msaada wa mtaalamu wa wanyama ili anisaidie kitu gani kitawazuia paka wa jirani kuingia kwangu.
Paka hawa huingia kwenye fence yangu na kukesha wakilia nyuma ya nyumba yangu, imekuwa ni kero kiukweli.
Naomba msaada nitamlipa akinifanikisha.
Asanteni kwa ushauri
Fremu ya biashara inapangishwa ipo barabara ya changombe jirani na njia panda ya kwenda tcc club. Jirani na maduka mawili.
Inatazama barabara kubwa ya changombe, temeke.
Ina floor tiles nzuri na mlango wa aluminium na ni kati ya fremu nne ambao zina watu tayari. Kodi ni 115,000/= kwa mwezi...
Fremu ya biashara inapangishwa ipo barabara ya changombe jirani na njia panda ya kwenda tcc club. Jirani na maduka mawili.
Inatazama barabara kubwa ya changombe, temeke.
Ina floor tiles nzuri na mlango wa aluminium na ni kati ya fremu nne ambao zina watu tayari. Kodi ni 115,000/= kwa mwezi...
FREMUYA BIASARA INAPANGIHWA
Ipo barabara ya changombe:
Ni nzuri ina foor tlises na mlango w allumium wa ku slide.
Mkataba ni miezi 6, na kodi ni nzuri laki mja kw mwezi
wasiliana na 0713 689665
Vitu mbali mbali vinauzwa
System, Radio ya Sonny whats 4600 beiyake-300,000/=
Meza ya chakula ya mninga na viti vyake sita-260,000/=, Kabati la TV na kuwekea vitu vingine kubwa- 300,000/=,Makochi/sofa kubwa- watu 3-300,000/=, madogo mawili kila mmoja(kochi)-100,000/=
Wasiliana na 0713-689665
Vitu mbali mbali vinauzwa:-
System, radio ya sony whats 4600 beiyake-300,000/=
Meza ya chakula ya mninga na viti vyake sita-260,000/=
Kabati la TV na kuwekea vitu vingine kubwa- 300,000/=
Makochi/sofa kubwa- watu 3-300,000/=
Madogo mawili kila mmoja (kochi)-100,000/=
Vyote viko kwenye...
Fremu yabiashara inapangishwa ipo barabara ya Changombe jirani na njia panda ya kwendatcc club. Jirani na maduka mawili inatazamabarabara kubwa ya Changombe, Temeke.Ina floortiles nzuri na mlango wa aluminium na ni kati ya fremu nne ambao zina watutayari. Kodi ni 130,000/= kwa mwezi
Wasiliana...
fremu yabiashara inapangishwa ipo barabara ya changombe jirani na njia panda ya kwendatcc club. Jirani na maduka mawili.
inatazamabarabara kubwa ya changombe, temeke.
ina floortiles nzuri na mlango wa aluminium na ni kati ya fremu nne ambao zina watutayari. Kodi ni 130,000/= kwa mwezi
wasiliana...
ipo jirani na njia panda ya kwendatccc. Inatazama barabara ya kubwa ya changombe
ni nzuri ina floor tiles, na mlangowa aluminium
mkataba ni wa miezi 6, na kodi ni130,000/= kwa mwezi
wasiliana na 0713-689665
Ipo eneno lnaitwa Chgombe, TEMEKE, inatazama baraba ya Chang'ombe
Ina ukubwa wa kutosha duka la vipodozi , au ofisi a duka la chakula aunk.
Ina mlago wa aluminium na floor tiles ndani na nje kwnye baraza. Ipo kati yamaduka manne.
Kodi kwa mwezi ni 130,000/= na mkataa ni wa miezi si ta sio...
Ina ukubwa wa kutosha duka la vipodozi , au duka la chakula au ofisi nk.
Ina mlago wa aluminium na floor tiles ndani na nje kwnye baraza. Ipo kati ya maduka manne.
Kodi kwa mwezi ni 130000/= na mkataa ni wa miezi si ta sio mwaka. Nina maaan kodi inalipwa kwa miezi sita sita siyo kwa mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.