Duh! Watu wenye akili kama zako Kumbe wako bado duniani
Mind set ya mwafika itachukua miaka mingi kuwa huru
Imancipate yourself from metal slavery non but yourself can free your minf
Hizo hadithi za zamani, hivi sasa ni tabu sana kuonana msenge Zanzibar, sisemi kama hawapo, lakini sio kama Kinondoni Daresalam
Nasikia Arusha nako mashoga nje nje
It was genocide, Mauaji ya kimbari yaliyodhaminiwa na Uingereza, yaliyoongozwa na Nyerere pamoja na Waisrel ili kuuondoa Uislam katika upande huu wa Afrika
Cha kushangaa Uislam umezidi kupamba moto Zanzibari,
Mapinduzi ya Zanzibar sio kitu cha kujivunia, Wazanzibari wengi sana, wasio kuwa na...
Sijakufahamu umeandika nini,. Unatakiwa ujue kuwa Injili sio Biblia hivi ni vitabu viwili tafauti.
Alichohubiri Yesu yaani Injili hakikuhifadhiwa,. Sasa wewe hiyo Injili umeisoma wapi??
Mnachohubiriwa makanisani ni Agano jipya aka Biblia..
Neno Biblia ni neno la Kigiriki lenye maana...
Kweli Waislamu wanamini kuwa Isa aka Yesu aka Yasu hakusulubiwa msarabni...
Kama Yesu alikua Mungu kwanini asitumie uungu wake kujiokoa na yale mateso ya msarabani ?
au kama Yesu alikuwa mtoto wa Mungu kwanini Mungu amuache mtoto wake ateseke kiasi kile?
Mashuhuda wa waliomuua Yesu...
Kwanza unatakiwa ujue kuwa Biblia na Injili ni vitabu viwili tafauti..
Injili ni mafundisho ya Yesu aka Yasu aka Isa, hata Waislam wanayakubali mafundisho hayo
Biblia imeandikwa na watu zaidi ya arubaini, Paulo akiwa ameandika asilimia 40% ya Biblia...
Cheo cha Yesu kuwa ni Mungu kiliamulia...
Ni Kweli Muhammad kwa Waislam sio mtu wa kawaida kwani yeye ni binadamu alipewa uwezo wa Mungu tafauti na Binaadamu wengine..
Huyu mnaemwita Yesu ni Myahudi aliezaliwa kwa jina la Joshua, Warabu wanamwita Isa, Wayahudi wanamwita Iso, Warumi walimwita Jesus, Wagiriki walimwita Jasu...
Sijapinga kama mwanamke bikra kupata mimba, mwanamke anaweza kupata mimba bila ya kuingiliwa na mwanamme..
Mungu anaweza kufanya chochote anachotaka, lakini unaposema Yesu ni mtoto wa Mungu,, hilo nitalipinga sana
Sisi sote ni wana wa Mungu, kila Mtume ni mwana wa Mungu
Unataka kuniambia Mungu alifanya mapenzi na bikra Maria akapatiana Yesu
Kama Biblia umeandika Yesu kamwita Mungu baba haina maana kuwa Mungu ni baba ake, ni heshima tu..
Nyerere wanamwita baba wa Taifa, haina maana Nyerere alitembea na...
Kwa wanafata dini kiislam Muhamad no binadamu kwa binadamu mwengine, isipokuwa yeye kapewa uwezo na Allah.
Wanaofata dini ya Yesu wao wanaona Yesu ni Mungu ijapokuwa Yesu mwenyewe kazipinga hizi shutuma....
Kwa waislam Yesu/Isa/Iso/Joshua/Jesus/Yasu ni Mtume wa Allah kama Mitume mwingine...
Wakristo wa-atupu , sio Wakristo tupu..
Kajifunze kuandika kiswahili kwanza halafu ndio uje na upuuzi kama huu
Kiti ki-tupu=Kiti hakijakaliwa na mtu
JF imejaa Wajinga wa-tupu
Maliza Sentensi hapo chini tumia neno tupu
Meli imekuja ikiwa. _____
Neno tupu lina maana zaidi ya moja
Tupu ni...
Kwa mujibu wa science,ndio walikuwa binadamu
kwa mujibu wa Quran Mungu ka muumba binadamu wa mwanzo kwa udongo mweusi wa ufinyazi..
Kwa mujibu wa uhalisia wa hili jambo,Afrika ndio continent lenye asili ya watu weusi..
Tafakari
Ukosefu wa zero sio issue,kweli mnafikiri kwa kutumia ma..ta..
binaadamu anae tumia akili hawezi kusema kuwa nchi sio nchi kutokana na ukubwa wa Ardhi
na wingi wa watu
Kisiwa cha Kiribati kina watu laki moja (100,000) lakini ni nchi yenye kiti UN
East Africa federation ilipokufa pesa zote mmechuka Watanganyika,katika hizo pesa ulikuwemo mgao wa Zanzibar,rejesheni
Huku Zanzibar TRA inakusanya kodi ya Tanzania,waondoke basi kodi ibaki Zanzibar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.