Jamaa wanatutolea povu ungedhani sisi ndio tumeficha Rais wao. Wanasahau hizi habari zilianza na Lissu siku kadhaa zilizopita na hadi sasa there have been NO evidence tabled to prove him wrong!
Eti Kassim ametuambia Rais yuko sawa anaendelea na majukumu yake ya kujenga nchi! Kwani hawa watu huwa...
As usual, making it a Tz vs Ke affair!
Choose your battles wisely, Sir!
Wanaoposti habari hizi ni Watz wenzako mle Twitter. Fika huko waambie wanapotosha.
Don't kill the messenger.
Mbona hili jambo ndogo tu? Rais ajitokeze tu na taharuki iwaishie.
Rais ni taasisi. You have a right to know about his wellbeing, sio Waziri Mkuu kusimama na kusema eti yuko mahali anaendelea na majukumu yake! Wapi? Yupo na nani?
Basi yuko wapi Rais? Umesahau Lissu ni hasidi wa Pombe kisiasa. Unadhani hawezi kuwa na taarifa za kule Rais yupo?
Lissu baada ya kulishwa marisasi, alikuja tibiwa the same Nairobi Hospital where he made friends with staff there. Hawa marafiki wake wakiwemo madaktari ikiwa bado wanawasiliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.