Kuna ratiba inayotutaarifu wateja wenu juu ya kukatika katika maeneo mbali mbali. Ratiba hiyo inaonyesha umeme utakatwa kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
Cha kushangaza leo mmekata kuanzia saa 12:14 asubuhi kinyume na ratiba mliyoisambaza. Mbona mnatusababishia usumbufu usiowalazima...
Sio kigumu kiivyo. Katika kusaidiana na kuelimishana.....nenda kwenye GOOGLE TRANSLATE...weka English na Swahili, kopi maneno ya kiingereza ukaya-paste huko na itakutafsiria kwa kiswahili....
Wadau, nauliza hivi bado kuna malipo kwa ajili ya watoto wetu wanaosoma shule za sekondari? Mtoto wangu ameniletea barua kutoka shule ikinitaka kulipia mahitaji kama nilivyoorodhesha hapa chini:-
1. Michango ta Walimu (PTT).............. Sh. 26,000/=
2. Ada ya...
Habari jamvini? Natumia simu aina ya Samsung Galaxy Grand. Kuanzia juzi JF App haifunguki kabisa. Nimejaribu mara kadhaa kui-uninstall na kui-install tena lakini imeshindikana. Naomba maelekezo ili app hii ya JF ifanye kazi kama awali.
Natanguliza shukrani.
Watanzania wengi tunapenda kuongea kiingereza mbele za watu ili tu kuonesha eti u-msomi....
Nimemsikia...nadhani ni Madame akitangaza mshindi wa mwaka huu kwa kutaja "TWENTY-TWELVE" badala ya "Twenty-Thirteen"....hii inadhihirisha kuwa lugha hii si yetu ila tunalazimisha. Nashauri tutumie...
Mie nimerudia kwenye raha hizo za ukapera na nafurahia kwa kweli nikilinganisha na matatizo niliyoyapata nikiwa ndoani.
Ndoa yataka uvumilivu mkubwa hasa pale kama uliyemchagua kuwa mwenza hafai.
Hata mimi nimeshangaa kwa TV stations zetu Tanzania kjtofanya any coverage ya tukio hili ambalo limetokea kwa jirani zetu. Mungu wasaidie Kenya katika shida hii.
Hivi kwa nini nae asiunguzwe mikono kama alivhomfanyia huho mtoyo? Aunguzwe jli na yeye aonje machungu anahoyapata huho mtoto. Hivi kwa nini wananchi wanakuwa wepesi sana kuwacboma moto vibaka lakini wanashindwa kuwaadhibu watu katili kama huyu mama?..Na sitashangaa huyu akiachwa huru.
Siku zote napata huduma ya intaneti nikitumia Tecno T1 kwa daily rate ya 450/- ya Airtel kwa kutuma neno SIKU kwenda 15444. Leo nikaona nijaribu kifurushi cha wiki. Nikacheki salio kwanza kabla ku-transact kifurushi cha WIKI. Mpaka ss sijapata sms ya kunitaarifu kupewa hicho kifurushi, lskini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.