Search results

  1. Mike-Austin

    Ilani ya CHADEMA 2010-2015

    wandugu tuwekeeni attachement ya hiyo ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHETU-CHADEMA, 2010
  2. Mike-Austin

    Elections 2010 CCM sasa yadai JK hakukataa kura za wafanyakazi

    Hivi Tambwe ni msemaji wa serikali au wa CCM?...kwani Rais alikuwa akiongea kama Serikali (japo kwa TZ hakuna tofauti ya chama na serikali), au ndio J.K anamuandaa Tambwe kuchukua nafasi ya Salva Rweyemamu?...coz isije ikawa J.K ndio anajitenga na ma-sponsor wake wa enzi zileee za kipindi kile
  3. Mike-Austin

    JK apingwa kortini kugombea urais 2010

    “….ujio wa Jakaya na mtazamo wake wa masuala mbalimbali umeonyesha kuwa ile chachu ya maisha bora kwa kila mtanzania imeshindikana. Ile ndoto tuliyokuwa nayo ya kuipeleka mbele nchi yetu, naamini wakati wake umewadia kwa kuwashukuru watu kama hawa wanaowaza kumtoa Jah-Kaya kwenye urais ili...
  4. Mike-Austin

    Elections 2010 JK na Makamba wamuhofia Dr Slaa

    Mie sishangai kwa wao kusihiwa hoja, lazima wamuogope......pata picha J.K mojawapo ya hoja zake ni kuwa amewaletea maisha bora watanzania kwa sabaabu ya foleni za magari DSM, real president? VIVA MPIGANAJI SLAA Alitoa kauli hiyo tarehe 19 July 2010 wakati akizungumza katika mkutano...
  5. Mike-Austin

    Kauli ya Yusuf Makamba mnaionaje?

    Amakweli kale ka-msemo "Mume wa mama ni baba"; ndivyo inavyoonekana CCM Vs Makamba. Ila hakika ni kipimo duni cha uongozi kama alisema hivyo, meaning chama ni chake na familia kwani angeshindwa ingekuwa aibu kwa familia.
  6. Mike-Austin

    Elections 2010 Kipengele cha 'kadhi' chapigwa 'x' ilani ya CCM!

    Waislamu wanatakiwa kulishughulikia hilo katika imani yao na si ndani ya Serikali. Mbona madhehebu mengine ya Kikristo yana utaratibu wa kuwaandaa viongozi wao wa dini kupitia vyuo mbalimbali? Wameanzisha masomo ya dini katika vyuo hivyo na ndiko wanakopata maelekezo ya kusimamia taratibu zao za...
  7. Mike-Austin

    Wito: Gomeni kwenda kuangalia mechi ya Brazil na Taifa Stars!

    Unataka kugoma?, wewe peke yako labda. 1. Unataka ukamuangalie KAKA; ROBINHO etc kwa TZS 5,000?, sio wakina MGOSI hao......tambua thamani ya starehe, kwanini usiseme Ngasa kusajiliwa kwa TZS 58mil ni nyingi leo wasema wanaosajiliwa kwa USD 58mil ni anasa? 2. Thamani kubwa tutatangazwa...
  8. Mike-Austin

    Elections 2010 JK ametufanyia nini miaka hii 5 hadi tumchague?

    Ukweli ninaouona, unashawishi niamini ni rais Kikwete anayeweza kuwa amevunja rekodi kwa kuwa kiongozi aliyeongoza serikali iliyoshindwa kuliko watangulizi wake. Mfano Elimu/shule za kata ambazo badala ya kutoa wana-taaluma inatoa wajanja wa baadae. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema...
  9. Mike-Austin

    Hivi inakuwaje gari ya rais inachomoka tairi?

    Tunapoelekea taifa litapata hasara kubwa kuitisha uchaguzi kwa kufiwa na presidaa....ni aibu, kituko cha karne. Mbaya zaidi yote yanafanyiwa service Toyota penyewe, na Tax-Invoice ya mamilioni kwa mwezi...hakika mwenye shoka hakosi kuni
  10. Mike-Austin

    Brazil to play Tanzania in a friendly

    Brazil we know?no matter what hata kama ni kisiasa tuta-enjoy de value of our stolen money......nahofia isije ikawa kama tulivyosikia presidaa bro JK kuwa REAL MADRID wangetua TZ mpaka leo hata hao Portsmouth hawajafika, au wasije waleta wakina Rolaldhino na akina Pato walioachwa timu ya taifa.
  11. Mike-Austin

    Nahodha: Iko siku CCM itang'olewa

    Bravo VUAI.....hakika umewavua wenzio kwenye dimbi la mawazo hasi, na kwa yanayotokea TZ kwa sasa sina shaka hata 2020 haitofika. Unafaa kuwa Rais wa Zanzibar, au mpaka Karume akuambie nenda kajitizame kwenye kioo uone kama unafaa kuwa rais?..Much Lav
  12. Mike-Austin

    Marehemu Kibo Marealle

    sababu ya kifo aijuay mola, binadamu tujiandae....si kila afaye ni mgonjwa mahututi na si kila mgonjwa mahututi hufariki.....si kila aliyehai ni bukheri wa afya na si kila aliyekufa alikuwa mgonjwa.....si kila aliyevitani hupoteza maisha na si kila aliye katika amani hubaki hai. ....... Kwa...
  13. Mike-Austin

    Sababu ya Umasikini wetu kwa mujibu wa Mh. Benard Membe

    Kama hata Presidaa hajui sababu ya umasikini wa nchi yake, unategemea MAEMBE akujibu nini?...nchi ishauzwa
  14. Mike-Austin

    Sababu ya Umasikini wetu kwa mujibu wa Mh. Benard Membe

    JK Haelewi kwanini Tanzania bado maskini Mheshimiwa njoo JF upate sababu: * Asema anajiuliza swali hilo kila siku bila jibu * Apinga fikra za siasa za ujamaa kuwa tatizo * Aeleza mikakati ya kuimarisha sekta ya kilimo *Akiri kuna kipengele katika madini hakimfurahishi Na Waandishi Wetu...
  15. Mike-Austin

    Nigeria: Cabinet dissolved

    There has been talk of a cabinet reshuffle for weeks now, ever since the national assembly moved Goodluck Jonathan to acting president. But few people expected the wholesale dissolution that came on Wednesday. Not all ministers will lose their jobs - some will be reappointed, but this kind of...
  16. Mike-Austin

    Signs that Show if Someone Is Lying

    Signs that Show if Someone Is Lying The following are signs you should look for when attempting to spot a liar: Body Language: Liars usually hide their palms and don’t sit straight while telling a lie. They also avoid eye contact at the time of the lie and generally use negative evaluation...
  17. Mike-Austin

    Ufisadi kwenye uteuzi wa Nehemia Mchechu?

    Education and Professional Expertise? Experience? Inanichanganya kidogo, kama CEO wa NHC kisheria (as per NHC Act Sect 18) anateuliwa na Waziri....applications zilikuwa za nini? 18.-(1) The Minister shall, upon the advice of the Board, appoint a Director-General of the Corporation who...
  18. Mike-Austin

    Watu Zaidi ya 5000 wapiga picha wakiwa uchi

    SYDNEY – About 5,200 naked people embraced each other on the steps of Sydney's iconic Opera House on Monday for a photo shoot by Spencer Tunick. Tunick, who is known for his nude group photos in public spaces, posed participants for more than an hour in a variety of positions. "It was difficult...
  19. Mike-Austin

    Kesi ya Liyumba: Naibu Gavana aibua mambo mazito

    Hivi kweli naibu gavana wa benki kuu, maswali ya msingi kabisaaa ya utendaji wake wa kila siku...majibu yanakuwa "sikumbuki/sikumbuki sawa sawa", huu ni utani mahakamani/kazini. ". HERI KUJIKWAA KIDOLE KULIKO ULIMI" Ama kweli hii kesi ina mkono wa mtu, Naibu Gavana mbele ya majaji anasema...
Back
Top Bottom