Hivi Tambwe ni msemaji wa serikali au wa CCM?...kwani Rais alikuwa akiongea kama Serikali (japo kwa TZ hakuna tofauti ya chama na serikali), au ndio J.K anamuandaa Tambwe kuchukua nafasi ya Salva Rweyemamu?...coz isije ikawa J.K ndio anajitenga na ma-sponsor wake wa enzi zileee za kipindi kile
.ujio wa Jakaya na mtazamo wake wa masuala mbalimbali umeonyesha kuwa ile chachu ya maisha bora kwa kila mtanzania imeshindikana. Ile ndoto tuliyokuwa nayo ya kuipeleka mbele nchi yetu, naamini wakati wake umewadia kwa kuwashukuru watu kama hawa wanaowaza kumtoa Jah-Kaya kwenye urais ili...
Mie sishangai kwa wao kusihiwa hoja, lazima wamuogope......pata picha J.K mojawapo ya hoja zake ni kuwa amewaletea maisha bora watanzania kwa sabaabu ya foleni za magari DSM, real president? VIVA MPIGANAJI SLAA
Alitoa kauli hiyo tarehe 19 July 2010 wakati akizungumza katika mkutano...
Amakweli kale ka-msemo "Mume wa mama ni baba"; ndivyo inavyoonekana CCM Vs Makamba. Ila hakika ni kipimo duni cha uongozi kama alisema hivyo, meaning chama ni chake na familia kwani angeshindwa ingekuwa aibu kwa familia.
Waislamu wanatakiwa kulishughulikia hilo katika imani yao na si ndani ya Serikali. Mbona madhehebu mengine ya Kikristo yana utaratibu wa kuwaandaa viongozi wao wa dini kupitia vyuo mbalimbali? Wameanzisha masomo ya dini katika vyuo hivyo na ndiko wanakopata maelekezo ya kusimamia taratibu zao za...
Unataka kugoma?, wewe peke yako labda.
1. Unataka ukamuangalie KAKA; ROBINHO etc kwa TZS 5,000?, sio wakina MGOSI hao......tambua thamani ya starehe, kwanini usiseme Ngasa kusajiliwa kwa TZS 58mil ni nyingi leo wasema wanaosajiliwa kwa USD 58mil ni anasa?
2. Thamani kubwa tutatangazwa...
Ukweli ninaouona, unashawishi niamini ni rais Kikwete anayeweza kuwa amevunja rekodi kwa kuwa kiongozi aliyeongoza serikali iliyoshindwa kuliko watangulizi wake.
Mfano Elimu/shule za kata ambazo badala ya kutoa wana-taaluma inatoa wajanja wa baadae.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema...
Tunapoelekea taifa litapata hasara kubwa kuitisha uchaguzi kwa kufiwa na presidaa....ni aibu, kituko cha karne. Mbaya zaidi yote yanafanyiwa service Toyota penyewe, na Tax-Invoice ya mamilioni kwa mwezi...hakika mwenye shoka hakosi kuni
Brazil we know?no matter what hata kama ni kisiasa tuta-enjoy de value of our stolen money......nahofia isije ikawa kama tulivyosikia presidaa bro JK kuwa REAL MADRID wangetua TZ mpaka leo hata hao Portsmouth hawajafika, au wasije waleta wakina Rolaldhino na akina Pato walioachwa timu ya taifa.
Bravo VUAI.....hakika umewavua wenzio kwenye dimbi la mawazo hasi, na kwa yanayotokea TZ kwa sasa sina shaka hata 2020 haitofika.
Unafaa kuwa Rais wa Zanzibar, au mpaka Karume akuambie nenda kajitizame kwenye kioo uone kama unafaa kuwa rais?..Much Lav
sababu ya kifo aijuay mola, binadamu tujiandae....si kila afaye ni mgonjwa mahututi na si kila mgonjwa mahututi hufariki.....si kila aliyehai ni bukheri wa afya na si kila aliyekufa alikuwa mgonjwa.....si kila aliyevitani hupoteza maisha na si kila aliye katika amani hubaki hai. .......
Kwa...
JK Haelewi kwanini Tanzania bado maskini
Mheshimiwa njoo JF upate sababu:
* Asema anajiuliza swali hilo kila siku bila jibu
* Apinga fikra za siasa za ujamaa kuwa tatizo
* Aeleza mikakati ya kuimarisha sekta ya kilimo
*Akiri kuna kipengele katika madini hakimfurahishi
Na Waandishi Wetu...
There has been talk of a cabinet reshuffle for weeks now, ever since the national assembly moved Goodluck Jonathan to acting president. But few people expected the wholesale dissolution that came on Wednesday.
Not all ministers will lose their jobs - some will be reappointed, but this kind of...
Signs that Show if Someone Is Lying
The following are signs you should look for when attempting to spot a liar:
Body Language: Liars usually hide their palms and dont sit straight while telling a lie. They also avoid eye contact at the time of the lie and generally use negative evaluation...
Education and Professional Expertise?
Experience?
Inanichanganya kidogo, kama CEO wa NHC kisheria (as per NHC Act Sect 18) anateuliwa na Waziri....applications zilikuwa za nini?
18.-(1) The Minister shall, upon the advice of the Board, appoint a
Director-General of the Corporation who...
SYDNEY About 5,200 naked people embraced each other on the steps of Sydney's iconic Opera House on Monday for a photo shoot by Spencer Tunick.
Tunick, who is known for his nude group photos in public spaces, posed participants for more than an hour in a variety of positions.
"It was difficult...
Hivi kweli naibu gavana wa benki kuu, maswali ya msingi kabisaaa ya utendaji wake wa kila siku...majibu yanakuwa "sikumbuki/sikumbuki sawa sawa", huu ni utani mahakamani/kazini. ". HERI KUJIKWAA KIDOLE KULIKO ULIMI"
Ama kweli hii kesi ina mkono wa mtu, Naibu Gavana mbele ya majaji anasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.