Search results

  1. SOSDANNY

    Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

    Hapo umesema kweli, wanatolewa antennae, kwa hiyo hawapati ladha.
  2. SOSDANNY

    Hukumu ya Rais kwa TTCL haijakaa sawa kabisa

    Rais kuongea vile ni kwa sababu ya hasira, lakini ushauri Mzuri kwa washauri wa Rais, kwa sababu urais ni taasisi kubwa yenye wataalaam wengi, kuwa public shareholders ni muhimu Sana kwa TTCL.
  3. SOSDANNY

    Hongera TRL kwa Mabehewa Mapya. SGR ni Reli Mpya ya Kisasa; Je, Mabehewa Haya ni Mapya ya Kisasa? Hakuna Ubaya Kutumia Mitumba, Ila Tuambiwe Ukweli!

    Lakini nilisikia siku za nyuma kuwa yataletwa mabehewa used kwa ajili ya majaribio, sasa sielewi kama ni hay au? Management ya TRC watoe ufafanuzi ili tujue sisi wananchi.
  4. SOSDANNY

    Hivi wanawake wanatamani tamani kama wanaume?

    Wewe umemaliza kila kitu.
  5. SOSDANNY

    Heshima kwa Brothers mliooa na mnaishi kwa upendo, amani na furaha katika ndoa zenu

    Ndoa kwa kweli, siyo kuona mrembo na kumkimbilia, inahitaji kuangalia sana tena kwa kina. Mimi ndoa yangu ina miaka 11 ila utadhani tumeoana jana. Sio kwamba hatungombani la, tunagomba yanaisha. Napenda kumwita mke wangu mrembo vipi. Ila nimezoe tu. Naona mambo ni mazuri.
  6. SOSDANNY

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Tunaomba mtuwekee picha za drone miji yote tulinganishe.
  7. SOSDANNY

    Mwanangu wa miezi sita (6) anaumwa mafua hatari.

    Mpeleke hospitali anaweza akawa anatatizo lingine ndani yake Kama huwa anapata hilo tatizo mara kwa mara, watoto huwa wanatibiwa kwa uamgalifu sana. Huwezi ambiwa dawa hapa mtandaoni.
  8. SOSDANNY

    Nawaza tu kuhusu TANESCO kwa huu utendaji wao

    Hawa tanesco kwa kweli ni shida sana, yaani wanauzi mnoo. Serikali iliangalie hili, jana vitu kibao vimeharibika kwenye friji, umeme umekatika bila taarifa tangu asubuhi hadi jioni, Mimi nipo job, nimerudi Kila kitu kwisheni. Sina hamu nao.
  9. SOSDANNY

    Jifunze kujiheshimu

    Umesema vyema.
  10. SOSDANNY

    Tume ya Uchaguzi iondolewe mamlaka ya kuengeua wagombea bila kupitia Mahakamani

    Sawa kabisa, nahisi hayo mambo hayatokea tena. Tunaanza kuwa wamoja kama zamani, MUNGU MKUBWA.
  11. SOSDANNY

    huyu mlokole kanikwaza, ingawa naogopa kusema hivyo!

    Tenda wema nenda Zako, hayo tunakutana nayo Sana kwenye maisha, lakini unaachana nayo.
  12. SOSDANNY

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO Manyara kuna mgao wa umeme karibu wiki Tatu sasa, shida ni nini? Kwa sababu hawajatutangazia, tunaona ni washa Zima, washa Zima, shughuli za kujiali hadi zinakuwa ngumu. Tafadhali TANESCO Tunaomba mtueleze kuna shida gani?, kama umeme hautoshi tujue. MENEJA MANYARA TOA TAARIFA TUJUE.
  13. SOSDANNY

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Naona press zinaanza kuzaa matunda sasa. Wapewe seminar tu hakuna namna.
  14. SOSDANNY

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Update atakupatia nani? Wakati wenyewe wameingia mitini.
  15. SOSDANNY

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Jana wamekimbia hata kuhojiwa hawataki wamesahau kuwa ndiyo mpira ulivyo, Mimi nasubiri mechi ya Leo kwanza, siunajua polisi wanavyojua kubana. Lakini matumaini ya ushindi yapo.
  16. SOSDANNY

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Angalia mtani, kwani hata Mtibwa nao wanahitaji point pia. Kama polisi wanavyozihitaji point za YANGA. Ligi ngumu mwaka huu.
  17. SOSDANNY

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Wazee wa pori wameingia mitini, siku wakishinda tu utawaona kule kwenye uzi wa YANGA aka Wananchi.
  18. SOSDANNY

    Kama Simba iilivyoangukia pua mbele ya Mbeya City leo, ndivyo ambavyo siku ya siku, chama dola kitaanguka kutoka madarakani hata wakibebwa na dola

    Umenifurahisha sana kwa maelezo uliyotoa, Anayehesabu ndiye anajua mshindi, sasa hapo utashindaje?
  19. SOSDANNY

    Kama Simba iilivyoangukia pua mbele ya Mbeya City leo, ndivyo ambavyo siku ya siku, chama dola kitaanguka kutoka madarakani hata wakibebwa na dola

    Mzee Pascal Mayalla, ulichosema ni kweli, Sisi watanzania tunaofutilia siasa ni wachache mno, tofauti na wenzetu kama Zambia, Kenya, hata Malawi tu wanatushinda. Kwa hiyo kuitoa CCM madarakani siyo kitu Rahisi hivyo tunatofauti kubwa sana na mataifa mengine ya Africa.
Back
Top Bottom