hilo jambo limenitesa zaidi ya miaka mitatu;mpaka nije nigundue, nimepoteza hela nyingi sana,sasa hivi naipenda tanesco yangu. Nanunua umeme wa sh,2000/=,napewa unit 27.30 nilichofanya niliandika barua kwa meneja wilaya wa tanesco kuomba nitoke tarif one kwenda tarif o.basi ukiwa tarif o,hizo...
Hiyo mbolea ya ruzuku inapelekwaje kwa diwani?Hakunaga mawakala wa pembejeo huko?Tatizo la Lema angeuliza mfumo uliotumika kwanza kabla ya kukurupuka na huyo diwani.Labda angewakusanya wengi mpaka waliopindisha mfumo wa usambazaji wa pembejeo.Wengi tunajua wanaotakiwa kusambaza pembejeo ni...
Kama watarudia mjue kuwa ni uchakachuaji wa fedha zitakazotengwa,pia tume iliyoundwa hakuna lolote ni jinsi tu ya kutenga fungu watu wapate pesa za kufanya mambo yao.
HATA KAMA nape ANASEMA WAMESHIKA KWENYE MAKALI AKUMBE "NGUVU YA UMMA"ITAMSAMBARATISHA ILE MBAYA.KAMA AMESHIKA KWENYE MAKALI TUNAVUTA KWENYE MAKALI ALIKOSHIKILIA TUANGALIE NANI ATAUMIA.
Nionavyo mimi watoto kufeli; Serikali ya magamba imelemewa na wanafunzi wanafaulu kila mwaka.Vyuo vikuu mikopo,hakuna,asilimia kubwa ya wanavyuo wanaelimika na kuwa wapinzani wa serikali iliyopo madarakani.Halafu hata wakihitimu bado ni shida kwao ajira hakuna.wameona bora wabaki mitaani wawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.