Natumia Sony DAV-DZ350, ina tatizo kwenye Bluetooth kwa muda mrefu kidogo sasa. Ni mara chache sana Bluetooth inakubali ku'connect (labda mara 1 kwa mwezi). Tatizo limeanza tu out of blue, haikuwahi kudondoka wala kupigwa shoti. Ukiwasha bluetooth inasoma vizuri kama inasubiri iwe connected, ila...
Natumia Sony DAV-DZ350, ina tatizo kwenye Bluetooth kwa muda mrefu kidogo sasa. Ni mara chache sana Bluetooth inakubali ku'connect (labda mara 1 kwa mwezi). Tatizo limeanza tu out of blue, haikuwahi kudondoka wala kupigwa shoti. Ukiwasha bluetooth inasoma vizuri kama inasubiri iwe connected, ila...
Wakuu mi natafuta nyimbo ya (Wana Ikibinda Nkoi) Diamond Sound ya mwanzoni kabisa ile wanataja club na hoteli kali za mikoa karibu yote ya Bongoland.... Hiyo na nyingine za hao hao wakali kina Allan Kashama Mulumba na crew yake
Kura yangu iko kwa Pacman, i always admire the guy, ptovided he's a Southpaw, itakua ngumu sana kwa Money kumpiga. Money pia yuko vzr sana, hamna haja ya kumuelezea sana coz historia yake imeshathibitisha hilo. Ujinga itakua ni kumchukia Money kwa sababu ya show-off zake. Anapata hela kwa jasho...
Swala sio uzito kama tulivyozoea, ishu ni ubora wa wapiganaji. When it comes to #PoundForPound hawa jamaa wana mvuto na wako kwenye ubora kuliko walio kwenye heavyweight. Labda kwa sababu wamarekani hawana bondia bora kwenye uzito wa heavy ndio maana promo zote ziko kwny welterweight.
mzee wa ndonga
Nacheki hapa kwenye hii page, kuna kitu kimenichanganya na sijaelewa kabisa (lugha hii hapa imenipiga chenga) naomba muongozo wako tafadhali
How to Become CISA CertifiedThe CISA designation is awarded to individuals with an interest in Information Systems auditing, control and...
What does it take for a man with no working experience in IT industry? Nimefanya Advanced Diploma ya IT lakini bado sijapata kazi lakini nina lengo la kusoma. Naweza kumudu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.