Hivi kuna ulazima gani wa kuhamia Dododma kwa sasa? je? ni gharama kiasi gani zitatumika kuhamisha ofisi hizi? je? Sisi wa lala hoi ambao tuliambiwa hii nchi ni yetu sote kuna tunacho faidi hapa kweli? Hii sii hali ya kuendelea kulewa misifa na kusahau kuwa wako wanaoteseka? Ni nini hasa...
Wee Phillipo naona bado unazo zile akili za kuendelea kuiba. Hii ina maana kwamba basi huyo dada asifukuzwe kazi kwani wafanyakazi wake walioko kwenye vitega uchumi vyake wanaishi kwa mshahara/ pesa ya BoT na sio pesa inayotokana na biashara wanayo isimamia.
Ukifungua biashara yoyote lazma...
Sio hao tu, yuko Happiness Kijazi Farm Concern International, yuko Martin Kijazi Good News Toronto. Watu wanawekeza kwenye elimu bwana. wengine tunabakia kupiga kelele za siasa tu.
Nyalandu aliwahi kuwa hata anasafiri na hao wazungu kwenye kampen zake za urais. Lakini haishangazi ndo ilikuwa style ya awam hiyo manake kama hata unakumbuka hata wachina nao walikuwepo kwenye kampen za CCM. Anyway, sijui mwisho nini lakini bado hali ni mbaya sana bado na sii ajabu hata JPM...
Ila inaonekana kuwa wewe ni mara ya kwanza kupanda ndege ndo mana unashaghaa jambo kama hilo mbona la kawaida tu.We kwani unawahi DAr au wapi na ukishajulishwa ya JK nyerere airport utarusha ndege au utamlazimisha pilot akupeleke sikuelewi mugabo.
Unajua huku ni kutapatapa kwa mfa maji, hivi KAMA KWELI WEWE NI MZALENDO? kwanini DVD zako ziwe na picha yako ZZK? kwa nini zisiwe vinginevyo? ina maana we ni mzalendo kuliko Watanzania wote? au msafi sana? au Unataka kusema we unaujua uzalendo kuliko watanzania wote? Na kama we mzalendo basi...
Unachekesha wewe tena unazidi kujikaanga na mafuta yako. Mzalendo hatumii mbinu tata kama hizi zako ambazo mtu alieko 'Nyamnodwe' kule kwako hawezi tumia hiyo DVD kwani hana na hajui ni lini atapata umeme ili aweze itizama hiyo DvD.ACHA KUPOTOSHA NA KUDANGANYA WATANZANIA KWA KUTUMIA NENO UZALENDO.
Kuna ka taratibu ka kuitwa ikulu unapewa juice na maneno fulani hivi ili ukaonekane haka nako kautaratibu msikasahau, Vijana wamabanwa mbavu hawakwenda tu wenyewe lazma kulikuwa na nguvu kubwa nyuma yao. Pili, Hao wanitwa 'WASANII' Ili wale lazma wafanye mambo ya kisanii, na wanajua pakufanyia...
Unajua mambo kama haya huwa ni sisi wenyewe watanzania tunayasababisha yaendelee kuwa hivi.Ni kitu cha kushangaza sana mtu anapata uhakika wa jambo halafu analileta huku jf ili kila mmoja wetu aone uchafu unaofanywa na nchi yetu, matokeo yake comment zinazotolewa zinakuwa ni za kawaida sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.