Tunaomba IGP aongeze nguvu, vijana wake wameshindwa. Kwa juma moja wameshavamia nyumba zaidi ya tano. Wananchi tunaishi kwa hofu kwani ni mara ya kwanza kuvamia mjini.
Wadau wa Elimu mi nataka kujiendeleza japo umri umekwenda. enzizetu kwenda shule ya upili ilikuwa shughuri. ukizingatia shule ilikuwa moja MWANZA na baadae ikaja PAMBA. nifuate nini ili niweze kusoma Elimu ya watu waziwa. nimeishia std (vii) asanteni
Naomba mada hii isifutwe ili watu wawe na tahadhari wakati wa kutoa taarifa za kiharifu. Iko hivi mwezi wa saba nilienda kutafuta eneo la kuchimba Bwawa la samaki nilienda mpakani mwa poli la BURIGI na kitongoji cha KISUMA. ktk pitapita zangu --->
Mwenyekiti Bavicha Deus lusiani. katibu Venas Lubaga.
Bawacha Mwenyekiti Pendo Ngonyani, katibu ni Oliva Martin.
Mwenyekiti wazee Mantoni Kanywagi, katibu Batromeo. Kamati tendaji ni Dastan, Juma Masankara, Hawa Idirisa na Elias Selemani.
Wapenda mabadiriko ote mnaombwa kuchangia ujenzi wa OFISI ya chadema jimbo la BIHARAMULO magaribi. hapozamani hatukuwa na Ofisi tulikuwa tunapanga ktk majengo ya watu, mbunge wetu MBASA na madiwani wakachanga wakanunua kiwanja jirani na kwa marehemu FARESI KABUYE (mbunge wa zamani TLP) hivyo...
Wapenda mabadiriko ote mnaombwa kuchangia ujenzi wa OFISI ya chadema jimbo la BIHARAMULO magaribi. hapozamani hatukuwa na Ofisi tulikuwa tunapanga ktk majengo ya watu, mbunge wetu MBASA na madiwani wakachanga wakanunua kiwanja jirani na kwa marehemu FARESI KABUYE (mbunge wa zamani TLP) hivyo...
Huu mpango wa vijana ote wanao taka kuingia vyuo vikuu mbona haufuati utaratibu wa kijeshi? ninamaanisha kupima afya ya mlengwa kabura ya kuanza mafunzo, nasema haya ni kutokana na maelezo ya jeshi lenyewe kuwa binti aliye kufa amekufa kutokana na upungufu wa damu ambao ni tatizo lake la...
Kwanini watawala wetu hawawi wakweli, kwanini wasituambie kama walivyo tuambia Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa tunapulizia sumu ya ukoko a.k.a. (sumu hatari ya D.D.T) au mnajua mkiwaambia watu wa Dar kuwa hii ni sumu ya D.D.T watakataa kupuliziwa? kwani sumu hii ni hatari kwa viumbe hai. naona...
Ndugu zangu wana JF, Hususani wanamziki na wakazi wa MWANZA . mtajwa hapo juu ni mugonjwa sana kwani hawezi hata kutembea, kwa. kwa wasio mfahamu anaitwa SAMSON WILISON alisomea shule ya msingi Nyamanoro na kuhitimu mwaka 1994, akajiunga ktk mziki enzi za kina JONTWA JOKER,kwa atakae guswa...
Asikari polisi wa Biharamulo Kagera jumapili ya talehe 26, amepata kipo cha mbwa mwizi kutoka kwa asikari wa JWTZ Biharamulo. ilikuwa hivi. mnamo saa saba usiku wakiwa doria, walienda kufunga disiko Robart Hotel. na kuwakuta njagu. ndipo ukatokea
Wapendwa habarini za asubuhi jana arufajiri niliamka kuwahi shamba nikiwa njiani alitokea mdudu na kuniuma mdomo wa juu mdomo ukaanza kuvimba. nilivumilia uvimbe nikijua utaisha, mdaulivyokuwa ukisonga ndinvyo na uvombe ulivyokuwa unaongezeka. ni.eamka asububi hii naona hata uso nao umevimba...
Leo nimelala shambani. mdahuu tunaamshwa, kwenda kwenyetukio la kuuwawa kwa bibi mmoja. kauwawa na watu wasio jurikana. nikitongoji cha Kibengo, kijiji cha Luziba, kata ya Luziba, Biharamulo Kagera.
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kuona anae takiwa kuelimisha ndiye anae poteza huyu jamaa anasambaza HIV kwa makusudi. anatembea na watumishi wa ndani hapa wilayani kwa kuwarubuni yeye ni mtu wa Ngara, na hawa dada zetu wengiwao hapa wana toka Ngara
uvaaji wa chupi au nguo yoyote inayo bana inasababisha haya kwa mtambo wa kutengenezea watoto (1) kupinda (2) kupungua ulefu ndo sababu hawapo wanao weka vipini (nzinga) kwasasa (3) kupungua nguvu. vaa pajama ili wakati wa asubuhi ijinyoshe vizuri,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.