Kama mwezi mmoja umepita nilikuwa kituo cha Gerezani Kariakoo kuna watu nilikuwa nawasubiri nikaona wanaitwa na mlinzi wa China Security ( ndio walinzi Wa vituo vya mwendokasi ), wakaambiwa watoe sh 50,000 kwa kupigana picha, mimi nikawaambia haiwezekani kupigana picha iwe kosa sasa wakati...
kipaumbele cha kwanza ELIMU,cha pili ELIMU,cha tatu ELIMU ... MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA mlitaka azikwe vipi?
Unaposema hili suala wanaligeuza KISIASA mahjui huyu ni mwanachama na mwenyekiti wa mkoa?
Tunaona wanafariki viongozi wa dini wanazikwa na wafuasi wao, wanafariki wanamichezo...
Kifo cha Mohamed Mtoi kimenihudhunisha sana , tunapoteza vijana wanamageuzi wenye kutaka kuleta mabadiliko ya kweli. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani.
kabla hamjaandika haya yoooote jaribu kupitia KATIBA uone inasemaje? Tusiwe wavivu wa kusoma na tunaandika tu maneno ya mtaani na KATIBA ya Malawi ni tofauti na yetu
"Leo Makongoro kuwa sehemu ya wageni maalumu katika uzinduzi wa Meli za Kivita"
Meli moja inaitwa Msoga alipozilia Raisi wa sasa na Meli nyingine inaiitwa Mwitongo kwa heshima ya mahali alipozaliwa Baba wa Taifa, sasa mtoto wake ataachaje kuwa mahali hapo?
Hii habari ukiisoma hasa nusu ya kwanza, halafu irudie tena kama unaajua taratibu za kibunge haimake sense kabisa yani ni kama mwandishi kaandikiwa au kapewa cha kuandika lakini yeye hajui anachoandika.
Miezi kadhaa iliyopita nilienda wodi ya Sewa-Haji kumuona mgonjwa sasa tumefika mlango mkubwa wa kuingilia tukakuta wagonjwa wamelazwa chini upande wa kushoto na kulia imebaki sehemu ndogo ya kupita, hamna faragha wagonjwa wamevaa mashuka tu.
Nilenda na sista basi tukatazamana hatukusema kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.