kama mtu unataka kumsaidia mtu ww msaidie mambo ya kuulizia chuo hayasaidii,atakuja na vyeti vyake utaviona na kumuuliza hayo maswali.acha bwebwe sio lazma kupost v2 kama huna kaa kimya hatutakuona mjinga.
sasa hawa wanawake wa sisiem wameota mbawa yan mwanamke anadilik kukabana na mwanamke,lisu chukua fimbo chapa viboko vya kutosha makalion,tuone atakaaje.duuh pole mzee we2 malech....nazan hua unakula kichapo cha mbwa mwz.
nashangaa wanaofurahia obama kuja tz,hv ujio wa wake unamaanisha nn?na kama haend kenya et kwa sababu odinga alikua kibaraka wao na alishndwa kwenye uchaguzi,bas kumbe anakuja tz sababu kuna viongozi wanaofavour maslah ya marekan na washlika wake.mm sion sababu ya kufurah et obama anakuja.obama...
duu,ama kweli viongoz wa kiafrica wanapenda madaraka,huyu jamaa odinga ni bora akubali matokeo yasije yakajitokeza yale ya 2007,tunapenda kuiona kenya ikiwa na amin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.