Search results

  1. F

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo mtwara idara sec.nije wilaya yoyote mwanza,contact 0767779096.
  2. F

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mimi niko mtwara nataka kuja musoma tuwasiliane kwa namba 0767779096
  3. F

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nichek kwa no 0767779096,nikuunganishe na rafk yangu
  4. F

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    CBG, D,D,C,ushauli plz,ni course gani ya afya kuanzia level ya diploma na degree naweza kwenda.?
  5. F

    Waliosoma Musoma technical high school

    mimi nimemaliza advance pale tech 2010,wapi dobeyeeeee,wapi mubiggggg,mkwawa domitory.
  6. F

    Natafuta ajira ya ualimu!

    kama mtu unataka kumsaidia mtu ww msaidie mambo ya kuulizia chuo hayasaidii,atakuja na vyeti vyake utaviona na kumuuliza hayo maswali.acha bwebwe sio lazma kupost v2 kama huna kaa kimya hatutakuona mjinga.
  7. F

    Nyambari Nyangwine: Umechangia Kuharibu Elimu ya TZ

    Nyambari hovyo tena hovyo sana, umelaaniwa.
  8. F

    Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

    bravoo nigger aluta continua,tanzania itakombolewa na watanzania wenyewe,tuko pamoja kamanda.
  9. F

    Mama Anna Kilango na Tundu Lissu nusura wazichape (Picha)

    sasa hawa wanawake wa sisiem wameota mbawa yan mwanamke anadilik kukabana na mwanamke,lisu chukua fimbo chapa viboko vya kutosha makalion,tuone atakaaje.duuh pole mzee we2 malech....nazan hua unakula kichapo cha mbwa mwz.
  10. F

    Obama to visit Africa...snubs Kenya again!

    nashangaa wanaofurahia obama kuja tz,hv ujio wa wake unamaanisha nn?na kama haend kenya et kwa sababu odinga alikua kibaraka wao na alishndwa kwenye uchaguzi,bas kumbe anakuja tz sababu kuna viongozi wanaofavour maslah ya marekan na washlika wake.mm sion sababu ya kufurah et obama anakuja.obama...
  11. F

    Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    nenda ofisi za migration zilizo kalibu nawe utapata maelezo na msaada wa kutosha.
  12. F

    Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

    asante sana kwa elimu hii,nimepata kitu ndugu yangu.
  13. F

    Kibaki kuendelea kutawala Kenya

    duu,ama kweli viongoz wa kiafrica wanapenda madaraka,huyu jamaa odinga ni bora akubali matokeo yasije yakajitokeza yale ya 2007,tunapenda kuiona kenya ikiwa na amin.
  14. F

    Ccm ikishindwa.

    wajalibu kukatalia madaraka watakiona cha moto,wataomba hifadhi nje za jilani,Mungu aepushe hayo make patachimbika.
  15. F

    Ungependa nani awe mbunge wako kupitia chama cha chadema hapo mwaka 2015?.

    Mwl.Ryoba Chacha,jimbo la serengeti.kijana ni mchapakazi i hv never seen before,hata green part wanatambua hilo.
Back
Top Bottom