Blantyre, Malawi - Malawi president Bingu wa Mutharika, has threatened to arrest any "tobacco colonialist" who defies his deportation order.
In a special address to the nation, broadcast on national radio and television, Mutharika said: "I ordered the deportation from our country of four...
Nasikitika kuwajulisha kuwa Ndugu Gervas Mkili hatunaye tena. Mkili alifariki jana Jumapili pale Hospital ya Muhimbili wakati akipatiwa matibabu ya Moyo, tatizo lililogundulika siku moja kabla ya kifo chake.
Kwa wale waliopitia UDSM, bila shaka hawazi kumsahau kijana huyu machachari pale...
Ninajua kunawadau wengi sana ambao katika maisha yao watakuwa wamepitia pale Pugu Secondary School kama wanafunzi, wafanyakazi, wakazi etc. Wadau hawa sasahivi wametawanyika sehemu mbalimbali ya nchi yetu na duniani kote.
Mimi binafsi ni mojawapo ya watu waliopitia pale kama dent wa high...
Hi all,
A Factory accountant is needed to work in a manufacturing company.
Qualifications;
Must be holding a degree in accountancy from a well recognised university
Must be holding CPA (T) (at least) under Graduate category or doing final CPA papers
Must have excellent communication...
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya TBC1 ya juzi tar.14 April 09, kijana mmoja mwenye umri wa miaka 19 pamoja na mama yake mzazi walikuwa wanashikiliwa na polisi mjini Dodoma kwa kosa la kijana huyo kufanya mapenzi na wake za watu pamoja na mabinti wengine kwa kutumia njia za kishirikina...
Japokuwa siku hii i.e tarehe moja April, ndo inaishia ishia nilifikiria itakuwa si vibaya tukijadiliana hapa ili kupanua uelewa wa siku hii ambayo inakuwa maarufu siku hadi siku, mwaka hadi mwaka sasa.
Mimi binafsi sielewi background ya siku ya wajinga (fools day) ni nini, sijawahi kusoma au...
I got this as forwarded sms from ma friend!
Kutokana na ukweli kwamba vijana wengi hawapendi kusoma bible, umefika wakati bible ingetakiwa iandikwe upya kwa kiswahili cha kisasa zaidi (watumiacho vijana) ili iliwavutie vijana wengi zaidi waisome na wapate wokovu. Mfano bible ingekuwa na verse...
Nimepitia kwenye web ya Ministry of Education (MOE) nikaliona tangazo la Scholarships za China nikaona vema nilisogezee hapa, kwa yeyote atakayependa!
Cheers
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI
Jamani naomba wataalam mnisaidie:
Mke wangu anamimba ya mwezi mmoja hivi lakini occassionaly huwa analalamika kwamba anasikia maumivu kwenye eneo la chini ya kitovu chake lakini pia huwa anatapika sana baada ya kupata maumivu hayo! Je hii hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.