Miaka ya nyuma,hadi sasa kwa Baba zetu ukienda pembeni ya vitanda vyao utakuta Nondo,rungu,Panga kubwa,Hivi vyote huwa navyo kwa dhumun la kujiami endapo kuna tatizo hasa la uvamizi likitokea usiku.
Tofaut na vijana wengi wa siku hizi ambao hatuna muda na vitu hivyo(nazungumzia vijana ambao...
Tafiti zinaonyesha umaarufu na kipato cha Jide vimeongezeka tangu alivyogombana na clouds,followers weng kwenye page zake za fb,twitter nk wameongezeka.Pia redio nyingi za mikoan zinapiga sana nyimbo za jide.Pia kipind chake cha diary ya lady jde watazamaj wameongezeka sana baada ya ugomvi huu...
Passport ni utambulisho wa kukutambulisha wewe popote pale duniani..Ukiishaipata utafanya utaratibu wa viza/Muhuri/kibari cha kuruhusiwa kwenda nchi unayotaka kwenda ambacho unakipata kwenye balozi ya nchu husika
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Naomba kubadilishana kituo na mtu aliyepangwa mbeya mie nimepangwa Simiyu (Idara ya Secondary) my no is 0755797640 or 0713046773
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.