Dar - Dom ni roughly 450 km
A. Fuel consumption ya TVS/boxer ni 40 - 60 km/l
Zinahitajika lita 10 (roughly) ambayo ni kama 26,000 TZS kwa kila pikipiki.
OIL - 8000 TZS, Achilia mbali gharama za chakula pamoja na risks za safari ndefu kwa pikipiki.
B. Kusafirisha kwa lori Dar - Dom ni around...
Pantoni ni kivuko - ‘moving bridge’ kinachotumika umbali mfupi kuvusha vitu/watu. Ni daraja linalotembea (mara nyingi kinatembea mbele au nyuma, hakihitaji kugeuka)
Meli ni kwa ajili ya masafa marefu na huwa ina ‘mbele’ na ‘nyuma’
Nifahamuvyo mimi, wataalamu wanaweza kufafanua zaidi
Hata hizo dini unazozilalamikia zilianzishwa na watu waliokuwa na mitazamo yako kama ulivyo na mtazamo tofauti wewe.....
Mwisho wa siku vyote vinaishia katika imani (kuamini) tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.