unafkr wafanyakazi wa migodi wote wanalipwa vzr? Wengne majina tu ,tabupalepale! Hata hvo hocp ya Geita ni wapumbavu sana,hata sirinji ujinunulie! Rushwa zmewazd,ndo mana nesi wao amepandshwa kzmban na PCCB kwa kupokea rushwa ya elfu moja!
kajitoleen hata lawfirms,mpate uzoefu! Km hamtak kuendelea na carrier endeleen na matikitimaji! HATA LAWSCHOOL hamjasoma mnataka ajira,limen matikitimaji huko kwenu!
SI MMEWEKEWA LAMI HADI DARAJANI? Wambie akina Yona,pro.mkandara,pro.tibaijuka,pro.rutinwa na wengne wadosi wachange hela waweke mkandaras! Hzo pesa zote wanazfcha za nin?
hakuna defamation ya namna hii,umesoma open nin? POINT.WANATAKIWA KTOA TAHADHARI kuepusha nervous shock kwa watazamaji! Wasipofanya hvo u sue them for NEGLIGENCE! Shwain.
ni jukumu la mahakama kama umemtia mtuhumiwa hatiani kabla hajajitetea kuomba huruma ya mahakama kabla ya kutamkwa adhabu(mitigating factors) na km mshtakiwa akipewa adhabu bla kupewa nafasi ya kuomba huruma ya mahakama basi anaweza kukata rufaa dhidi ya adhabu kuwa adhabu ilitolewa bila kufuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.