Hujaelewa ni chai lita 3-4 inatumika unit 0.4 ndani ya dakika 8.
Hizo watts 400 sijui So umeziokoteza wapi boss?
Kanuni yetu ni:-
kWh = (watts × hrs) ÷ 1,000
Data given:-
Watts= 3500
Hrs= 8Min (8÷60=0.13333)
Hence:- 3500*0.13333÷1000=0.466655.
0.4KWh ndio zimetumika kwa dakika 8 labda...
Bei zinatofautiana kulingana na ukubwa na material iliyotumika.
Kwa kuagiza ya kawaida moja moja inaweza kuwa 15K au 20K.
Yale ya stainless steel Hadi 70K.
Tz waweza kupata ila utembee na sumaku boss
Ebooh huu ujinga mtaachaga lini?
Bila ya shaka huyo aliyetuma mzigo mmejuana naye FB !!
We subiri hao wakenya wakutumie text kwamba uwatumie 50K Hadi 200K kupitia safaricom mpesa ili wauship mzigo kuja Tz afu wewe ukapokelee pale JNIA.
Ukishatuma tu ndio wanakublock mazima kule Whatsapp na...
ugali unaupikaje kwenye hiyo 800W maana moto upo chini sana unapanda na kushuka?
Kama kukaanga mayai au kupika mboga mboga sawa ila ugali ni Uongo maana utadoda labda uanzie 1500W na kushuka hadi 1000
Kamanda Mimi pia nina King of Stir Fry ya Watt 3500 kama ya Mwamba SPYMATE .
Cooktop ina mode 8 zilizosetiwa Mahsusi kama zinavyoonekana hapo chini:-
1.Slimmer 2000W
2.Steaming 3500W
3.Boiling water 3500W
4.Slow Fire 800W
5.Martial/strong fire 3500W
6.Hotpot 3500W
7.Boil porridge 2500W
8.Stir...
Mimi natumia brand ya PESKOE niliagiza uchina pamoja na set ya sufuria, frying pan na vikorokoro vingine.
Kariakoo yanaweza yakawepo ila ya kampuni zingine bei nayo yaweza ikawa imechangamka SI ajabu ukauziwa kwa 150-200K Jiko bila masufuria
Boss Mimi Nina familia ya watu 6 chai nachemsha kwa unit 0.4 mihogo ya kutosha familia nzima unit 0.8 jumla inatumika unit 1.2 na hapo tv imewashwa na chumba jirani anatupigia kelele na Sea piano lake hapo ni Jero tu imetumika ingekuwa mkaa huku Manzese ungetumia wa tsh 1200
Unit sahihi...
Mv maendeleo na Canadian sprit zilibamba sana enzi hizo afu bus German Voyage siku mbili ndio unafika.
Namkumbuka sana Mrs Kilimba yule muuguzi alikuwa poa sana.
Mnelamwana yule mhuni zilikuwa hazipandi hadi nahamia Moshi Tech kwa Mpande.
Ekoni wa Ekoni pamoja na Ngari walikuwa poa sana bila...
Nikusahihishe kidogo.
Standard shipping haikupi uhalali wa kutumiwa Moja kwa Moja Speedaf maana AliExpress ndio wanaamua wakutumie posta au speedaf so kama unataka utumiwe kwa Speedaf omba AliExpress wakutumie kwa njia hiyo sababu ukiwaomba seller Huwa wanajibu kwamba hawatumi nje ya system...
Usichojua ni kwama wakati tunaanza kuzijua hizo simu
za Xiaomi zilikuwa zikiitwa kwa kichina" Hongmi" amabayo ukitafsri kwa kingereza inamaana ya red rice.
Baadae ndio wakabadili jina la hongmi kuwa Redmi
Miaka ya nyuma 2017 huko tulikuwa tukiagiza sana power bank za mi, na battery mbali mbali bila ya shida ila kuna muda flani walisitisha utumaji wa power bank na battery 🔋 kisa miripuko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.