Siyo kwamba Tundu Lisu hajui madhara ya matamko yake juu ya Mwl, Nyerere, amelewa sifa ya kuitwa mwanasheria maarufu, hasa hasa alivyoambiwa hivyo na Rais Kikwete.
Mtanzania halisi
nimepitia kurasa zote 93 za awamu ya kwanza, nimeona katika maoni kuwa hakuna mabadiriko katika matokeo ya awali. Je waliofeli zaidi Nipashe iliyatoa wapi.
rukaaragata
Kuna uwezekano wa kutuchanganya kuhusu matokeo haya. Inafaa serikali iseme wazi kilichotokea tangu uasahihishaji hadi kutoa matokeo. Serikali ikifanya hivyo basi jumuiya itakuwa na mahali pakuanzia kutoa maoni. Kinachofanyika sasa ni kila mtu kutoa hisia zake bila kuwa na vigezo vya kusema hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.