Kama una leseni na muda nunua TVS bajaj used ya 4m zipo nyingi tu ukomae nayo mwenyewe kufunga ef30 kawaida sana wanapiga mpaka 50,60 kwa siku.Utatumia kama laki 2,3 kufanya service ndogo inayobaki 800k acha kwenye acc kwa ajili ya dharula.
NOTE:Brand ni Tvs tu si nyingine
Chukua tractor mkuu haswa brand za New Holland au Case za 4WD ukajichimbie moro turiani uko hukosi 17-19m kwa msimu ambao ni kama miezi mi5 ila iwe mpya sio used na wewe utalima mashamba yako pia kuongezea kwenye hela ya trekta...
Matrekta yapo mkuu ila bado hayatoshelezi mahitaji demand ni kubwa mno kipindi cha msimu ndio maana nasema mpaka msimu unaisha uhakika wa kulaza kati ya 18-22m kwa trekta mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.