Bado najifunza. Ili uelewe hili lazima ujifunze kwa Walio na rika la Mama. Huduma usikate kwa Mama, Unaweza kuta wakati wote umekuwa ukihudimia mama na Huyu baba ( Mpenzi wa mama). Wenda wameshalala kitanda cha Baba mara nyingi tu. Unafikiri Marehemu Baba apendi Mama apate faraja. ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.