Nauza camera aina ya Canon 600D imetumika mwaka mmoja na mtumiaji ni mimi mwenyewe,ilinunuliwa mpya,ni moja ya camera nzuri na za kisasa kwa wale wanaoanza photography kwa ngazi za entry level,pia hutoa video nzuri sana,package ni Camera Canon 600D pamoja na Kit lens EFS 18-55mm,CD zake ,manual...
Nahitaji lens aina ya Canon 50mm F1.8 au Yongnuo 50mm F1.8 (Canon mount),iliyotumika kidogo lakini ni nzima haina scratch/mikwaruzo wala fungus,nipo Dar Es Salaam,Mob 0655 585 490,ukiwa nayo ni sms au ni PM na utoe bei elekezi.
Je fikiria ningekuuzia wewe na tukawa tumemaliziana kila kitu ,halafu baadaye narudi tena na kusema hebu nipe hicho kitu changu kuna mtu kapanda dau,je utanielewa kweli au utanipa,jibu unalo mwenyewe .
Je unajua Lightroom version gani na je unaijua kuitumia katika kuedit photos?nataka nijifunze zaidi kwa vitendo hasa kuedit picha najua kijujuu tu na si sana kama jibu ni ndio nikutafute nipo Dar
Ulaya ambako ndio lilikuwa soko kuu imepigwa marufuku,nchi ya kwanza ilikuwa Uholanzi na sasa ni Uingereza,kwa sasa wananchi wa Meru huko Kenya wanaitaka serikali iingilie kati kwani kwa kupigwa marufuku kuuzwa nchi za Ulaya kumewafanya maisha yao yawe ya shida
Hapa Tanzania kuna ma wasanifu majengo wazuri sana na wanatambulikana katika ulimwengu wa wasanifu majengo na wanasanifu majengo huko Afrika Kusini kwenye majiji kama Jo'burh,na hata Ujerumani.Tatizo ninaloliona mimi ni mindset za Watanzania ambao hawapendi kubadilika na kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.