Huko ndiko chimbuko la Ulinzi na Usalama wetu usiwaogope watendaji na msijifunze short cuts ni mbaya sana. Ukipenda mtelezo hutakuwa balozi mzuri wa huduma uliyoipata Kwa wengine
Tunasikiliza upande mmoja wa Mungu kwa 7bu yeye ndiye njia ya ukweli. Kuhusu shetani kuasi Ni kweli kabisa na kwa kipindi hicho Nani angeliamini hayo lakini Yesu alithibitisha hilo kupitia mitume wake. Ulizeni jamani nitawajibu sisi Ni wa Mungu, shetani yake jehanamu.
Kipindi cha Corona wakati wengine wakiwa vizuizini na mipaka imefungwa ndo ulikuwa muda wa mapinduzi ya viwanda Tanzania. Lakini wawekezaji wa ndani walilala kipindi kimeisha ushindani uko juu Sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.