Kweli wanachukua GPA Upper Second,,ila safari hii wamechukua kuanzia 3.6 mpaka 4.0 kamili,,,waliokuwa na GPA zaidi ya 4 hawakuchukuliwa na chini ya 3.6 pia.
Hi..., we got your name from MUCCBS provided by L.N.Ngailo, please forward to me your application letter bank officer position, cv, copies of certificates - university cert, univ transcript, form six and form four cert as well as other copies of certificates, my email address...
Wakuu Mbona hamtupendi Wachagga jameni? Mara CRDB ya wachaga,,mara CHADEMA ya Wachagga na bla bla kibao,,,,,acheni unafiki,, kama wachaga tunajitahidi kupiga shule ina maana hatuna haki ya kupata hizo nafasi?? Na kuna ushahidi gani wowote kwamba wanaofanya kazi CRDB ni Wachagga watupu au 7babu...
Job opportunities at WaterAid Tanzania 03.14.2014· Posted in General Jobs WaterAid is an international NGO dedicated exclusively to the provision of safe water, sanitation and hygiene promotion to some of the world's poorest people. We currently have a number of exciting opportunities to work in...
Tuwe na subira kidogo,,ila mimi mwenyewee nimetumiwa msg asubuhi na MWESIGA PIUS akinitaka nimtumie hela na nimeangalia no. Kwenye Mpesa ni ya Mwesiga,,,sasa sielewi kama ni Hacking au huyu jamaa ni mfanyakazi wao,,,ila tuwe makini jamani watu wamekuwa maptapeli
Usikosoe uumbaji wa Mungu,,unahisi kuna madhara gani ukiwa na kipara kwa umri mdogo? Nijuavyo mimi kipara na symbol mojawapo ya dalili za kuwa na mpunga,,sasa unakataa hiyo heshima??
Wana jamvi habarini za mihangaiko ya kila siku!
Napenda kuwatahadharisha wale waliofanya aptitude test ya Mwanza Community Bank (MCB) kwa ajili ya kupata watu 20 watakaoenda kupata training, hawa jamaa ni MATAPELI na nikiwa kama mmojawapo wa waliofanya ile test, nimetumiwa msg leo asubuhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.