kweli ndugai kafuria na huyo ni mmoja wa watu wasio jitambua hata kidogo wewe hapo wameumiza kichwa wameona mwenye upeo wa kujibu ni ndugai ndo wakamtuma sasa piga picha angekuja spika mwenyewe ingekuaje? si angejikuta anaaga?
big up Tundu Lisu ndo dawa yao big up kwa crue nzima ya ITV...
mwaka wao huuu maana sijawahi ona graf ya ufahuru inaongezeka ni kila mwaka nafuu ya uliopita sasa hapo ndo shazi mtaani karibuni mtaani ila msikate tamaa maana maisha ndo kipimo cha akili yakiwashinda na hayo basi ninyi ndo kwish neh.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.