Nilipofungua huu Uzi mapema niliangalia ID nikiamini itakuwa Mpwayungu Village amebadili ID.
Hata hivyo bado Nina mashaka hii account Mpwayungu Village ameidukua......
Lea hiyo mimba... Kama Kuna ugaigai itajulikana na hutapoteza heshima yako. Mungu atakufunulia.. huu Ni mtazamo wa kiroho... Puuza yote utaumia Lea hiyo mimba...
Hawa walipaswa kupewa kila kitu bure, Kama ilivyo kwenye umeme,maji,nyumba,nauli( Kwa wale walio bahatika kuishi barracks)
Halafu wanalemaaa (Baadhi yao) vibaya..wachache Sana wanasanuka...mapema.
Kuna mmoja alinizoea ikafika mahali akitaka beer ananitafuta nimnunulie..wanapata laana...
Mimi nadhani labda VP yupo likizo ya mwisho wa mwaka...Ila sijui Kama yupo likizo..lazima aonekane hadharani??!!!!!! Mnataka aende sokoni Magomeni au kariakoo??
Mleta mada usingeandika huu uzi wako umekaa kichoko Sana. Unayejaribu kumtetea kakuzidi kila kitu., Halafu Mahakama ndiyo itatafsiri haki siyo wewe. Kula kwanza utulize akili.
Mleta mada ungekaa tu kimya... Maana ulivyoandika inaonesha huna uzoefu na Safari.
Anyway sijakuelewa. Hoja yako tatizo Ni service au usiku? Maana hueleweki..
Mkuu unachoongea ni kweli kabisa kwakuwa Mimi ilinitokea kwa mwaka Jana hapohapo kahama. Nilikata tickets kwa jina la bus jingine asubuhi naambiwa Hilo bus limeharibika kwa hiyo nimefaulishwa nipande dreamline.... Aseee kahama uhuni Mwingi Sana.
Warangi Ni Kama mabaki ya waarabu.. na kujifanya wanaujua Sana uislamu.. Sasa sipati picha Kama wakikutana na mwarabu Kama Kuna kitu huwa wanampinga., Hofu yangu... ......Ni mtandao pendwa 0713 kama huwa unabaki Salama..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.