Mmhh! Tuambie kwanza wewe ni injinia wa nini? Usikute injinia wa trekta!! Hahah loh
Btw tumekuskia mkuu kuwa wewe ni le super engineer,watakuja..[emoji3] ilaaa nyie bwana mnatukata na miwembe mnatuchoma na mibsbis kwenye misuruale yenuu!!! Mwisho..muda wa kuihudumia ndoaa nyiee mpo na milaptop...
Umeanza vizuri mkuu .ila hapo mwisho ndipo ulipoboronga ukadhani waliomo humu ni kama kule "uso wa kitabu" lengo la uzi wako umeharibu mwenyewe!! Otherwise futa huo mstari wa mwisho.!!
Una uhakika mtoto ni wako?? Maana takwimu za mwaka Jana tuliambiwa ety siyo wa kweenuu ..nakutania mkuuu usijekupasuka!! Hongera mwaya Muombe Mungu kipindi hiki huwa kigumu haswa kwa mkeo.pia kwasasa awe chini ya uangalizi wa daktari..BTW mtoto lazima atoke tu muda ukiwadia..andaa hela ya maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.