Habari wakuu,
Najiuliza kwa muda sasa hivi kuna haja ya kutunza kumbukumbu za matukio ya aina zote kati ya mabaya na mazuri?
Kwanini mtu unaempenda kwa dhati akitangulia mbele za haki(kufariki)watu wachukue filamu na picha za mgando tena wengine wanaenda mbali zaidi kama mpendwa wao alipata...
Salaam wakuu.
Nipo Sirari kikazi, nataka chomoka fasta tar 24 jioni baada ya kazi kupitia Nairobi niwahi xmas mndenyi.
Anayejua hii njia msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.