Kwa KWELI kama unaongia kwenye international affairs you have no option Kula chanjo mwanawane,achana na Gwajimaism! Ila mimi Nina hofu zaidi na story hizi kwa hizi attachments ,naona maelezo haya yamekiuka KATIBA yetu na JMT Iimetupiga teke
Nini interest ya Ialdabaoth kuumba kiumbe kwa mfano wake na nini interest ya sofia kumuumba Ialdabaoth?hapa naona kama kuna hidden things again likud panahitaji mnyumbulisho zaidi
Mimi kwa mtazamo wangu ningeona tuache malumbano tuangalie way foward na jinsi gani mmoja mmoja kuangalia jinsi ya kupambana na kadhia hii iliyoko mbele yetu,Nchi za wenzetu wameamua kututenga kwani madereva wanaoenda mathalani Rwanda hupimwa na kuzuiwa kwenye gari zao na kurudishwa kwa ulinzi...
Kama unataka umakini na ustamilivu pigs ganja yako,Kwa kiasi ukiwa umepumzika unapata upepo mubashara,na inakuwa tamu zaidi ikiandaliwa na mpenzi wako!
Asante JPM,Kazi imeisha!2020 CCM Ikulu hamna kigingi wala jiwe barabarani 100%(njia nyeupeee) nachoomba tu wapinzani wenye nia na lengo jema kwa Tanzania Mpya, vueni gwanda,maanake 2020 ni aibu kwenu kama mkipata hata viti 10,mchinje kuku,watu hawataki kelele,maendeleo kwa vitendo JPM kaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.