Huu ndio upigaji wanaofanya hawa wafanyakazi wenu wakatisha tiketi. Jana Jumamosi nimeingia kituoni saa 12:50 Jioni pale Posta Ya Zamani dirisha linaloangalia Kanisani KKKT. Sasa jamaa wa dirishani kanipa hii tiketi ambayo kwa kuangalia muda TU ni wazi ilisha_expire na ilishatumika na mtu...
Sio wajinga. Na usiwalaumu Kwa wao kutokuwa na mbuga wala rasilimali kama nchi Yako, kwani wewe ulipanga uzaliwe Tanzania!? Vipi pia kama ungezaliwa huko Congo mathalani Kivu kwenye maliasili nyingi lakini hkuna Amani!?
Hilo linaangukia kwenye kosa la kumghasi/ kumpotezea Kipa umakini Tena kwenye eneo lake. Kulihusisha na uchawi ni akili mbovu za hao waliotoa hiyo adhabu.
Kwani wale wanaokwepa kupita kwenye mageti rasmi ya kuingia uwanjani Kwenye derby ya Simba na Yanga, mbona Huwa wanaadhibiwa na haisemwi ni...
Hawa wapuuzi wa kuteuliwa Leo Dsm kesho Mwanza keshokutwa Mbeya hawawezi kuwa na faida yoyote kwenye utatuzi wa changamoto za mikoa husika kwani hawana lolote wanalolijua. Ni upumbavu kupotezaa Kodi za wananchi Kwa hivi vyeo vya kijinga vya kugawiana zawadi
Wanalipia Sio Bure Mkuu. Na kila channel ina maudhui yake maalum yakiwekwa tofauti lazima iwe nongwa. Mathalni dstv waweke muziki kwenye ile channel ya supersport, watu wakilalamika suluhisho litakuwa kuwaambia wabadili channel.!?
Mahindi in it's form tayari ni chakula, unless uniambie mahindi ni sawa sawa na mkonge kwamba hautumiki mpaka uwe processed. Actually ume_comment nonsense hapa.
Geography ukiijua wewe inatosha. The fact kuwa yeye halimi mahindi wala ngano ndio maana ni upumbavu kudai eti anawalisha watu. Hizi mills zake zitasaga nini wakulima wasimuuzia mahindi!?
Kabla ya yeye kuanzia uzalishaji wa sukari, watu walikuwa wanatoa wapi sukari!? Yeye analima ngano au mahindi!? Yeye anafanya udalali TU hapo. Sina chuki naye, shida ni pale wanaomlalamikia humu mnawaona kama wanakosea.
Bidhaa za waislamu!? Wao wanazitoa wapi? Kwa waislamu wenzao au!? Kisha hao wanaotumia hizo bidhaa unazodai za waislamu, wanapewa Bure!? Au wanatumia pesa zao kununua!? Azam akiacha au kususa kufanya biashara watafanya wengine. Biashara Sio msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.