mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo nasomea urban planning,natafuta kibarua chochote ambacho ata ikiwa mbali na ninachosomea ila mradi nipate hela ya kula na kujilipia maitaji yangu ya chuo sababu sikubahatika kupata mkopo,kibarua kipindi cha likizo mwezi wa 2 na mwezi wa 6.
mimi ni mwanafunzi wa chuo,
huwa napata shida kutafuta kazi pindi napomaliza field zangu,naombeni ushauri nifanye nini au hata mahali kazi zinapopatikana ila ziwe za muda mfupi wa likizo sababu mimi bado mwanafunzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.