Search results

  1. M

    Rais Samia, Mbunge wetu Freddy Mwakibete kakosa nini?

    :rolleyes::oops::eek:o_O
  2. M

    Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki

    Huu ni uchochezi!
  3. M

    Ubunifu ni sifa ya kwanza ya Kiongozi

    Simaanishi kiongozi asiige ama asiendeleze aliyoyakuta, na kuyafanya sehemu ya mafanikio ya uongozi wake. Wala sisemi kiongozi hapaswi kupokea ushauri wa wasaidizi wake. Muhimu ni wewe unapoingia madrakani unaibua mambo gani ambayo unayasimamia kwa nguvu kama njia ya kuonyesha uwezo wako...
  4. M

    Kwa akili za Kiafrika Demokrasia bado sana. Hayati Magufuli alikuwa sahihi; kujituma ndilo suluhisho

    Pendekeza - tufanyeje - Tutaendelea kuwaondoa kina Lumumba, Sankara na Gadafui - Afrika imerogwa?
  5. M

    Huyu ndiye Rais ambaye ana content kwenye Hotuba zake ukimwondoa Nyerere

    Shida ya Tz sio Rais, bali mazingira yanayopeleka kupatikana kwa Rais. Tuwe wawazi Mwinyi alikuwa suluhisho katikati ya mivutano na mashaka, hata kama hakuwa chaguo la wengi Mkapa aliletwa kama mtu wa kuirejesha Tz kwenye mustari baada ya uholela uliozagaa wakati wa Ruksa Kikwete lilikuwa...
  6. M

    Imani ya Watanzania kwa Rais Samia yaendelea kuongezeka

    WEWE ANZISHA BLOG YAKO UWE UNAPOST UCHAWA WAKO HUKO! Humu unatufanya tushindwe kufanya uchambuzi wenye uhalisia!
  7. M

    Alexander Mnyeti aburuzwa Mahakamani kwa Matumizi Mabaya ya Madaraka

    Braza Paschal, Labda tunatofautiana katika kutafsiri unyanganyi - maana hapo kuna uporaji - yaani anayedai hana nafasi ya kulipeleka mahakamani hili kama Jinai?
  8. M

    Serikali yasitisha rasmi mgao wa maji

    Kuwa Muungwana una hakika na hilo? Au unaongelea maneneo fulani fulani @ OysterBay nk
  9. M

    Maisha yangu yaliharibika kwasababu ya yule

    Duuu! Pole aise
  10. M

    Dkt. Bashiru alistahili viboko na si kuwa Mbunge

    Kakaa, siasa za Tz hizo wewe uguza maumivu yako lakini Bashiru anajua anavyocheza na karata zake!
  11. M

    Ujinga wa mwafrika, maandiko ya kihistoria yenye mafundisho kuhusu vikwazo vya wa maendeleo kwa Mtanzania

    Dah! Shida ni yapo kichwani ila kwa sasa umri umeenda ndo shida...... any ideas?
  12. M

    Ujinga wa mwafrika, maandiko ya kihistoria yenye mafundisho kuhusu vikwazo vya wa maendeleo kwa Mtanzania

    WADAU AWAMU YA KWANZA ya uongozi Tz ilitoa fursa ya kuchapishwa maandiko ambayo yalikuwa na mafundisho muhimu kwa kutumia maudhui ya kujikosoa na ambayo yalitupa mafundisho mengi. Moja ya maandiko hayo ilikuwa kupitia vijitabu vidogo vilivyoitwa, UJINGA WA MWAFRIKA" Miongoni mwa maandiko...
  13. M

    Ni dhahiri serikali ya awamu ya sita imechemsha

    CHAWA AT HIS BEST- amewasha taa ya Matumain Katika mioyo ya Vijana....mambo Ni mazuri kabisa.....unakuta mapinduzi makubwa Sana....Upande wa biashara nako Ni imara Sana....punguza ngonjera weka hoja za kumsaidia Rais, zonazoonyesha matokeo sio nyimbo kama mtoto wa chekechea - yapo mengi...
  14. M

    Serikali yasitisha rasmi mgao wa maji

    Tuelekeze huko KULIKOSITISHWA MGAO tuje kupata hayo maji yakhe!
  15. M

    Diplomasia ya Uchumi 'Ujerumani yaipatia Tanzania Bil.209 za Miradi ya Maendeleo'

    Eee hivyo hivyo, trickle down, zitatufikia tu hata kama chembe
Back
Top Bottom