Tunapenda kukualika 2 days leaders and Youths fellowship conference by Victor Nkomo kutoka South Africa ni week hii ijumaa na jumamosi tarehe 26 na 27 Katika hotel ya Midland, iliyopo mtaa wa Rwagastore mwanza karibu na stand ya magari yaendayo Igombe. Kuanzia saa mbili asubuhi na kuendelea. For...
Tunapenda kukualika 2 days leaders and Youths fellowship conference by Victor Nkomo kutoka South Africa ni week hii ijumaa na jumamosi tarehe 26 na 27 Katika hotel ya Midland, iliyopo mtaa wa Rwagastore mwanza karibu na stand ya magari yaendayo Igombe. Kuanzia saa mbili asubuhi na kuendelea. For...
Leo tarehe 13.8.2014 Chuo kikuu cha mtakatifu agustine main campus mwanza imetia fora baada ya kubandika matokeo ya semista ya pili ambayo idadi kubwa ya wanafunzi wamesap somo la basic English ya katigula na comm skills kwa mwaka wa kwanza hivyo wote walio supp mitihani ya sup inatarajiwa...
OK.pia ni kwasababu mwisho Wa lupines maombi TCU ni tare he 30.8. Ten a hao no kwa ambao wamehitimu miaka ya nyuma mpaka 2013. hapo bado form six waliomaliza mwaka huu .wakati kwa mwaka Jana hapo majibu ya vyuo yameshatoka.
TCU to release list of successful candidates soon.
In Summary
TCU spokesperson, Mr Edward Mkaku, told The Citizen that the names would be verified by the councils of each learning institution before being sent back to the commission by the 25th of this month.
Dar es Salaam.
The Tanzania...
Habari wakuu
Moja kwa moja kutoka site ya TUMAIN UNIVERSITY MAKUMIRA. MAJINA HAYA HAPA YA WALIOCHAGULIWA BACHELORS YAPO CHINI.
MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO CHA TUMAINI MAKUMIRA
FREEDOM IN RELATIONSHIPS
kama mko katika mahusiano ni vema kila mmoja kumpa mwenzake uhuru, kwani itakusaidia kujua kama ni mwaminifu na tabia zake zote, mpe uhuru usimnyime kuwa jinsi alivyo bali mpe uhuru ili uone jinsi alivyo. The real way you can know your lover behaviour is the way...
kweli hali ni tete katika viwanja yva SOWETO ARUSHA, ambapo wananchi wa Arusha wataka wawaage marehemu, Baadhi ya vijana wanawatukana Polisi, huku wananchi wameponenea kupigwa mabomo, waanza kurushiwa maji ya washawasha. bado wananchi wamefurika ktk viwanja hivyo huku Polisi wametanda kila...
kweli hali ni tete katika viwanja yva SOWETO ARUSHA, ambapo wananchi wa Arusha wataka wawaage marehemu, Baadhi ya vijana wanawatukana Polisi, huku wananchi wameponenea kupigwa mabomo, waanza kurushiwa maji ya washawasha. bado wananchi wamefurika ktk viwanja hivyo huku Polisi wametanda kila...
Jamani watanzania ebu kila mtu atafute kuwa na uhusiano mzuri na Mungu wake kwani hizi ni nyakati za mwisho, na ni bora kila mtu amtafute Mungu wake ili aweze kuishi kwa furaha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.