Great thinkers,
Habari za asubuhi.
Ninaomba kusaidiwa kuelimishwa namna biashara kwa njia ya mitandao inavyofanywa.
Nitafafanua ili nipate ushauri unaokidhi shauku yangu. Mfano nataka kutengeneza bidhaa aina ya taarifa (elimu, hotuba au vitu, nk). Lengo ni kutaka kila anayepitia na kusoma au...
Habari za Jumamosi great thinkers
Tukio la mahakama kuu ya Kenya kutengua matokeo ya uchaguzi wa raisi wa Kenya linazungumzwa kama tukio la kihistoria katika demokrasia za siasa za Afrika.
Mimi binafsi sijasikia hotuba au tamko rasmi toka viongozi/watawala wetu na hususani toka katika bara...
Habari wana JF.
Kulikuwa na mwaliko wa kushiriki nyamachoma kwa JF members siku ya sabasaba. Naomba tupate mrejesho wa kilichojiri siku hiyo (kama mada iliisha letwa basi mniwie radhi sikuiona). Mrejesho husaidia katika kupanga matukio mengine ya jinsi hiyo wakati ujao. Baadahi ya maeneo unaweza...
Ninafuatilia taraka kwa mke tuliyeshindwana kuendelea kuishi naye. Maswali yatajibiwa kwa potential wife through pm. Wasema hovyo wanaruhusiwa kuongea kuondoa stress zao. Ex wife anajijua, naomba usilete fujo kwenye pm, ila unaruhusiwa kujieleza hapa.
Maelezo ya msingi yanayo nihusu kusaidia...
Hebu wafanyakazi wa ITV najua hamkosekani humu jamvini mniambie hii supper brand title mliipata zamani bado inaendelea? Leo Alhamisi tar 2 saa 5.30 asubuhi, nimeshangaa vipindi vya capital tv vimeingiliana na vya itv bila hata maelezo. Program iliyo kuwa ikiendelea ilikuwa ni marudio ya film ya...
Wadau wa elimu, fungua itv mh. Kawambwa, waziri wa elimu anahojiwa (recorded) ili uweze kupima ubora au mapungufu ya sera ya elimu iliyo zinduliwa ijumaa na mh JK
Wanajamvi naomba nichote busara zenu niweze kumsaidia binti ninayeishi naye aweze kumaliza sekondari vema na ikiwezekana kuendelea na masomo.
Ninaishi na mtoto wa mjomba wa mke wangu. Huyu binti alikuwa na maendeleo mazuri sana alipoanza sekondari mpaka kufaulu mitihani ya kidato cha pili bila...
Natarajia atajibu vitendawili vingi katika kipindi hicho ikiwa ni pamoja na uanachama wake CHADEMA na ACT, tuhuma za mgao wa escrow, nk. Please karibu tusikilize Jumatatu.
"Wana Si Si M lazima tuelewe ni kwa nini tunalazimika kama chama na kama mwanachama mmoja mmoja kufanya kila linalowezekana (lolote na liwe) kuhakikisha kuwa mwaka huu 2015 tunachukua uongozi wa nchi (kiti cha Raisi wa nchi). Hutujali sana kwa wapinzani kuchukua viti vingi bungeni kwa vile...
Watu wengi niliosoma nao tokea shule ya msingi mpaka chuo wamekuwa wakiogopa sana kujihusisha na michepuo ya masomo ambayo ina hesabu kwa wingi, au ikitokea somo la hesabu ni lazima katika mchepuo huo, hufanya vibaya sana katika somo hilo.
Rafiki mmoja alitutania kwa kusema yeye amependelea...
Rejea utetezi wa Waziri Mkuu bungeni.....Kadanganya kuwa IPTL walivuta fedha za akaunti ya ESCROW. ukweli ni kama waraka huu wa mahakama unavyo fichua........
========================================
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.