Je wanawake wanaweza kufurahia mahusiano mapya ya wenza wao walioachana?
Kwa watu wenye mahusiano au wanandoa kuachana ni jambo gumu sana katika Maisha hususan kwa wanawake hasa ikiwa katika mahusiano hayo au ndoa hiyo kuna mtoto. Ni jambo gumu kwa sababu kwa mwanamke atalazimika kuwa na...
Unatakiwa kutuma TZS 22,000/= kwa Tigo Pesa 0715729292
Kitabu TZS 10,000/=
Kutuma Mwanza kwa Basi TZS 10,000/=
Ya kutolea Tigo Pesa TZS 2,000/=
Jumla itakuwa TZS 22,000/=
Mkuu namba zangu ni hizi hapa:
0715729292
0752729292
0782555709
Pia unaweza kukipata pale Dar Free Market kwenye duka la kuuza vitabu vya sheria ghorofa ya kwanza frem za mbele
Nimekuwa nikihudhuria sherehe mbalimbali za harusi hapa jijini Dar ambapo nimekuwa nikishuhudia vijimambo mbalimbali vya kufurahisha na wakati mwingine vya kusikitisha.
Nakumbuka Niliwahi kuhudhuria sherehe ya harusi ya jamaa mmoja ambaye nadhani hali yake hali ya familia yake kiuchumi haikuwa...
Mkuu kama hutojali ongeza namba nyingine ya simu maana hiyo uliyoweka hapo haiopokelewi na wateja ni wengi wanataka huduma ya kupelekewa kitabu wanasema namba haipokelewi.
Nyie watu mtanifaa sana hususan kwa hapa mjini. Kwa mikoani bado natumia usafiri wa Mabasi kupeleka vifurushi kwa wateja wangu mmoja mmoja.
naomba nisambaze ujumbe huu kwenye mitandao mingine.
Ngoja niwamegee kesi hii kati ya Hasumati dhidi ya Bashirihussein na mwenzie na ni kesi iliyoripotiwa katika ripoti za kisheria za Tanzania za mwaka 1983.
Je ilikuwaje?
Katika kesi hii Mama raia wa India alikuwa ndiyo mlalamikaji na alikuwa anamshitaki mkwewe na binti yake.
Kisa cha...
Visa na Vikasa ya Kesi Maarufu Duniani na Hukumu Zake ni mwanzo wa vitabu nitakavyokuwa nikivitoa kwa awamu ambapo vitabu hivyo vitakuwa na mkusanyiko wa kesi mbalimbali zilizowahi kutokea katika nchi mbalimbali duniani na kuvuta hisia za watu wengi.
Katika kitabu hiki cha toleo la kwanza kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.