Japo ukubwa wa nchi sio uwezo wa kijeshi lakini hata mimi nimekerwa na maneno anayozungumza huyu bwana. It is so disrespectful .....nadhani angekua Mkapa vitu vingekua tofauti kidogo. Hakuna sababu ya kuwa mnyonge kwa kitu unachokiamini. Nilitegemea Kikwete arudie tena maneno yake bila...
Mheshimiwa this is extracted from TCCIA Prospectus of 2005. If this is correct, inamaanisha takuwa na mika 36 mwaka huu.
Elsie S. Kanza (29) holds a B. Sc. (Cum Laude) in International Business Administration from the United States International University Africa Branch (USIU-A) Nairobi...
Mkuu ukiwa unatuma post usome kwa makini ....
We do not claim - by any means - to rank organisations or their programs, by the quality of education or level of services provided. The 4icu.org University Web Ranking is not an academic ranking and should not be adopted as the main criteria for...
Sioni sababu ya kumshambulia mtu kama umepishana nae hoja ............cha msingi ni kutoa maoni yako ili mjadala uendelee.........tujaribu kuchangia mada zaidi kuliko kuangalia nani ametuma na amesema nini. Back to the topic .......mimi naona kama kitu sio kizuri basi kizuiwe kwa wote haina...
Mwandishi ameweka wazi kwamba hizi ni TETESI na sio TUHUMA.........hivyo basi tusubiri tuone kama ni kweli au la! ..........Taarifa zote zinaanzia mitaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.