Kwema?
Nimepokea pesa kidogo kutoka kwa rafiki yangu nje ya nchi na kwa sababu PayPal haipokei pesa Tanzania nikamuomba anitumie kupitia Worldremit.
Tayari kanitumia tangu saa sita mchana na sasa ni saa kumi na nusu na nimepata Sms hiyo (Screenshot)ila salio kwenye MPESA hakuna kilichoongezeka...
Wakuu kwema?
Katika ukuaji wetu kiukweli ukitoa wazazi wetu, Bibi na Babu zetu walikua wakarimu wanyeyekevu na wenye upendo mkubwa sana.
Bibi yangu wakati wa likizo ilikua tukifika kijijin tu anatupokea kwa vigelegele na kuimba nyimbo za kilugha huku anaruka ruka na mara moja kuku atachinjwa...
Wakuu habari za leo?
Nimepata mtafaruku wa moyo sana leo kuwaza ni kipi kimewahi kua kipindi bora zaidi cha Radio na Television hapa nyumban Tanzania.
Kwa upande wa Television kwangu vipindi bora zaidi ni÷
1) Bongo Star Search ya Madam Rita
2) Ze Comedy ya kina Masanja EATV
3) Mkasi wa Salama...
Wakuu hongereni kwa sikukuu ya Eid.
Husika na kichwa cha habari hapo juu chahusika. Naombeni msaada sana wa kufahamu chochote kuhusu chuo tajwa hapo juu.
Nina ndugu kijijini kachaguliwa hapo ngazi ya Diploma ukoo mzima unanitegemea mim kuwapa jibu la mwisho kuhusu chuo hicho mawasiliano, ubora...
Habari wakuu.
Nimeona kuna haja ya kuanzisha uzi maalumu wa kufahamu walipo baadhi ya watu wetu waliowahi kujulikana sana enzi hizo.
Leo naanza kwa kutaka kujua wapo wapi watu hawa?
1) Flora Nducha wa Radio One
2) Enika wa baridi kama hii
3) Peter Manyika- Kipa wa Yanga
4) Snare wa East Coast...
habari wakuu
kiwanja kinauzwa Bonite moshi Kilimanjaro 20 kwa 20 bei ni shilingi million 8 tu
taratibu zote za kisheria na kiserikali katika mauzo zitafuatwa tafadahali ni PM kwa maelezo ya ziada na kama utataka kukiona
Ahsante
rejea kichwa cha habari chahusika.
naandika kuomba niuziwe betri ya simu ya halotell H8401
nimezitafuta sana madukani kwao Arusha Dar na Mwanza hawana
kwa aliye nayo naomba aniuzie na pia ni fursa kwa
wafanyabiashara kuziingiza sokoni maana kwa sasa hazipo kabisa.
ahsanteni
SUPPOTING EDUCATION TO RURAL AFRICAN CHILD-(setrac foundation) tufuate kwenye facebook ni asas mpya inayotafuta vollunteers then tutawapa award au ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.