Kitu hicho kinafaa, na kwa TZ tumechelewa sana kuwanacho. Ila tatizo ni moja tu "Sheria tunajua kuzitunga ila usimamz wake hatuwez kuutekeleza" Matokeo yake itakuwa ni faida kwa wauza unga
AU kwa vile king'amuz cha CONTINENTAL kinachomilikiwa na sahara communication inayomiliki star tv, redio free na kiss fm. Na kwa upande wa IPP wanamiliki king'amuzi cha DIGTEK. Lakini sizani kama hii itakuwa sababu tosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.