Askari anayeenda vitani akiwa na Plan A, B, C, D sijui mpaka Z anajiandalia mazingira ya kushindwa. Total concentration hamna. Kujiamini hakupo. Na ni wapi anapojua sasa Plan A imeshindwa nirukie B au C. Na hizo Plan zingine wakati akipanga mikakati yake inazipa uzito kama Plan A?
Pole Mwampamba. Kutoka kura 32,000 ulizopewa na wana Mbozi wakati ukiwa mgombea kupitia Chadema mpaka kura tatu! Duh! Heri uache siasa au uvae sketi upewe viti maalum. Na huo mwili utapendeza kweli kweli.
Sio vizuri mtu mzima kuaminishwa bila kujua ukweli wa mambo. Nakushauri kwa dhati kabisa kaisome orodha ya mafisadi kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Sikiliza maneno aliyosema Lowassa siku anajiunga na chama. Sikiliza maneno ya viongozi wa chama wakimpokea Lowassa halafu fanya maamuzi sahihi.
Ukimya...
Lowassa amefuata taratibu zote za chama na amekuwa mwanachama. Amefuata taratibu zote za chama katika kukiwakilisha chama kuwa mgombea urais. Tatizo lako ni kwamba labda wewe hukusoma Katiba ya Chadema wakati unajiunga nacho (kama kweli wewe ni mwanachadema). Lowassa na friends of Lowassa wana...
Vilevile kuna haja ya kujiuliza inakuwaje NEC wanasema wamepita malengo yao ya uandikishaji kwa kiasi kikubwa wakati watu wengi wanalalamika wameshindwa kujiandikisha.
Yeriko ametumia uwongo kujaribu kumweka Dr Slaa karibu na Chadema, yeye amepangua. Wakina Ritz wanatumia uwongo kumweka Dr mbali na chama na yeye amekaa kimya. Hicho ndicho kinachonisikitisha. Dr tunayemfahamu siyo huyu.
Mimi simwamini Lowassa vilevile na wala simtetei. Lakini nitakuwa...
Inasikitisha kwamba Dr Slaa anamkaripia Yeriko Nyerere ambaye amesema uwongo kwa dhumuni la kukiokoa Chama lakini hayuko tayari kuwakaripia wakina Ritz, JayOne na wengineo wenye kusema uwongo kwa dhumuni la kukisambaratisha Chama.
Tatizo la Dr Slaa ni kwa mkewe Josephine. Dr Slaa hautaki Urais lakini Mkewe ana hamu sana ya kuwa first lady. Baada ya Lowassa kuingia Ukawa amekuwa akimwabia Dr Slaa akae pembeni kwani yeye Josephine ameshajivua uanachama Chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.