MAGUFULI HAWEZI KUWA SAHIHI KATIKA HILI LA MIKOPO.
Kabla ya kuanza kujadili kauli hii ya Rais kwanza niorodheshe #interesting_facts katika swala hili.
1. Je uliwahi kujua kamba pesa inayotumika kusomesha wanafunzi vyuo vikuu na VETA ni pesa inayotolewa na shule binafsi ikiwemo na makampuni...
Wanawake wengi wanaweza kuwa na msimamo wa kumkataa mtu ama msimamo wa kutunza penzi la mpezi wake ama msimamo wa kutunza ndoa yake na kutofanya udanganyifu wowote.
Lakini wengi wanapopata matatizo hasa ya kifedha hugeuka na kuwa walaini na kuifutilia mbali misimamo yote waliyoiamini na...
from messages of my phone
" mida mida tu kuna mdada hapa jirani kafa kanywa sumu, kafunga harusi mwaka Jana mwezi wa saba na ameacha mtoto mdogo sana, haya yote yanasabishwa mapenzi."
taarifa zimeeleza huyo mwanamke kasalitiwa na mume wake na akaamua kujiua mapema leo huko ARACHUGA.
nyinyi...
Ni kama uongo kwenye mapenzi ni sehemu ya mapenzi.
Ni kama usaliti ni sehemu ya mapenzi pia.
Wengi wamesaliti ama kusalitiwa.
Je umewahi kujutia kosa ama usaliti kwa mpenzi wako?
Je umewahi kusalitiwa na msaliti akaangukia katika laana ama malipizi ya makosa yake baada ya usaliti?
Kubwa...
NI HIVI, nimejiuliza sana hili swali baada ya kutafakari siku kadhaa nikishuhudia mama mmoja aliye kwenye ndoa yake na mume wake ni mpole kweli kwa kadri ninavyomfahamu, lakini huwezi amini huyohuyo mke anawasiliana na jamaa mmoja anaeonekana yuko abroad. si mnajua tena mambo ya skype, nilibaini...
leo bataka nipate mtazamo wa wadada huhu kuhusu hili vazi maarufu duniani?
je mnalipenda livaliwe na wapenzi wenu?
je linawavutia?
wanaume pia mtakuwa na majibu toka kwa wapenzi wenu .ila mimi sijawahi ombwa kutinga suti na mamaa
Hawa viumbe gharama yao kubwa ni smart phone.
Kila mmoja hataki kupitwa na usasa.
Kuna watu nimeshuhudia wakilazimishwa na wapenzi wao kununua hizi simu za kubofya kizenji kama unanawa. haki ya nani wengine wanagombana kabisa.
ukizubaa ujue hiyo smart phone ataipata kokote.
ukiwahonga smart...
hapa tupo wanaume wachache tu.
si jambo la kawaida sana kwa mwanaume wa kupata bahati ya mtende.yaani zali la mentali.
leo tulonge kidogo wale tuliowahi kuwapata hawa watoto.
sikutaka kuamini pale mtoto mmoja alipojibu rasimi bila hiana kuwa my request ACCEPTED.
niliuliza mara...
Mavazi ni sehemu muhimu ya kuonyesha unadhifu wa warembo.
Je wanaume wanavutiwa na mavazi yapi? hapa tuseme ukweli tu bila kumung'unya maneno.
Wanawake wengi wanapenda sana kuvaa nguo zinazoweza kuvuta hisia kirahisi kwa wanaume.
Je hizi nguo ni kweli wanaume hawazipendi ama wanajifanya...
Wakati ambapo nyimbo ni sehemu muhimu kwa wapenzi wengi kunogesha mapenzi na hata kuwa kumbukumbu ya happy moment wakati wa nyuma katika mapenzi.
Upo ukweli mwingine usioepukika katika visa vya watu kuumizwa lakini wakati huo huenda kuna nyimbo zikawa zinaelezea uhalisia wa yaliyokukuta na...
Hawa warembo wa kichaga na hawa watoto wa kagame wanaonekana kuwa warembo kweli kweli.
Nina ndoto za kwenda kilimanjaro kutafuta karembo huko.
Lakini nina ndoto za kwenda Kigali kutafafta mtoto wa Kagame.
Binafsi hawa warembo naona wako na mvuto kweli.
Sasa tuache yangu.
Je kati ya hawa ni...
nimefatilia mashindano kupitia luninga.
pamoja na kwamba mimi si mtaalamu wa mambo ya ulimwende lakini yafuatayo ni bora yakafanyiwa kazi.
1. warembo waandaliwe vizuri na wapewe elimu ya mambo mengi ya kijamii kwa sababu wengi kama si wote wameshindwa kujibu maswali kwa usahihi unaotakiwa na...
Ni kitu gani kitamu kushinda vyote, je asali, muwa, fenesi, apple ama mapenzi?
Huu utamu wa mapenzi ukoje hasa, unaelezekaje? ni sawa kuulinganisha utamu huu na asali, sukari ama pipi? kama wapendavyo wapenzi kuitana honey, sugar ama sweety?
Ama utamu huu ni zaidi ya hapo?
Is love making on...
katika stori zitakazokutisha ukiwa mwanaume ni simulizi za machungu na maumivu ya tohara, ni nani jasri akikumbukaa ilivyokuwa kama anaweza kusema hata ingekuwa inarudiwa kila mwaka yeye angefanya?
katika stori zinazotisha na kuwafanya wasichana wawe na uoga usio wa kawaida ni pale...
unawezaje kuwa mwanaume mwenye roho ngumu hata wanapokatisha wasichana wazuri na warembo mbele yako?
huu umekuwa mtihani mkubwa kwangu hasa ukizingatia kuwa kwa sasa wasichana warembo wamejaa kila kona ukikatisha hawa.
huu urembo unaleta shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,ni bora zamani mambo ya...
Wale wadada wasioisha kudharau wanaume wasio na elimu ama wao hawawataki ama wanashangaa na kuwacheka rafiki zao wenye wapenzi wasioenda kidato wanapaswa kupata somo kutokakwa mwandishi nguli wa vitabu Eric James Shigongo.
ERIC JAMES SHIGONGO ANA MKE MWENYE ELIMU YA MSTERS LAKINI YEYE ALIKOMEA...
Kwa tafsiri isiyo rasmi toka kwangu.
Faida wanazopata wanaume ambao hawajafanyiwa tohara
Benefits enjoyed by males who are intact (not circumcised)
1. Full penis length and circumference. The "prepuce" (foreskin) constitutes 50% or more of the skin system of the penis [1]. If unfolded and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.