Search results

  1. Mshinga

    Rais Magufuli hawezi kuwa sahihi katika hili la mikopo chuo kikuu

    MAGUFULI HAWEZI KUWA SAHIHI KATIKA HILI LA MIKOPO. Kabla ya kuanza kujadili kauli hii ya Rais kwanza niorodheshe #interesting_facts katika swala hili. 1. Je uliwahi kujua kamba pesa inayotumika kusomesha wanafunzi vyuo vikuu na VETA ni pesa inayotolewa na shule binafsi ikiwemo na makampuni...
  2. Mshinga

    Natafuta nesi wa kubadilishana nae kituo cha kazi.

    Nipo wilaya ya Kilosa(Morogoro) nataka kubadilishana na mtu aliye wilaya ya Kishapu(Shinyanga). aliye tayari anitafute inbox.
  3. Mshinga

    Huu nao ni udhaifu kwa wanawake wengi

    Wanawake wengi wanaweza kuwa na msimamo wa kumkataa mtu ama msimamo wa kutunza penzi la mpezi wake ama msimamo wa kutunza ndoa yake na kutofanya udanganyifu wowote. Lakini wengi wanapopata matatizo hasa ya kifedha hugeuka na kuwa walaini na kuifutilia mbali misimamo yote waliyoiamini na...
  4. Mshinga

    Hata sisi wanaume wafupi hatupendi wanawake wafupi

    "Hata sisi wanawake wafupi hatupendi wanaume wafupi"
  5. Mshinga

    MAPENZI yasababisha kifo

    from messages of my phone " mida mida tu kuna mdada hapa jirani kafa kanywa sumu, kafunga harusi mwaka Jana mwezi wa saba na ameacha mtoto mdogo sana, haya yote yanasabishwa mapenzi." taarifa zimeeleza huyo mwanamke kasalitiwa na mume wake na akaamua kujiua mapema leo huko ARACHUGA. nyinyi...
  6. Mshinga

    UBH'UPE BHO-NK'IMA n'iLIKHUJO N'UBHUSOGA

    u-nkima nsoga og'utola abhize. 1. o-pe. 2.winikujo. 3.nfula. 4.nogu. namala. nongeje nakalyimbo. alihoi nkima namonileee. nsoga o-bhasoga udugemanijaaa. o-mino g'udiwali o-melemetaga guding'weji.
  7. Mshinga

    Majuto ya usaliti

    Ni kama uongo kwenye mapenzi ni sehemu ya mapenzi. Ni kama usaliti ni sehemu ya mapenzi pia. Wengi wamesaliti ama kusalitiwa. Je umewahi kujutia kosa ama usaliti kwa mpenzi wako? Je umewahi kusalitiwa na msaliti akaangukia katika laana ama malipizi ya makosa yake baada ya usaliti? Kubwa...
  8. Mshinga

    Je! haramu ni tamu kuliko halali? Maana mapenzi ya mchepuko ni habari ya ulimwengu wa wanandoa

    NI HIVI, nimejiuliza sana hili swali baada ya kutafakari siku kadhaa nikishuhudia mama mmoja aliye kwenye ndoa yake na mume wake ni mpole kweli kwa kadri ninavyomfahamu, lakini huwezi amini huyohuyo mke anawasiliana na jamaa mmoja anaeonekana yuko abroad. si mnajua tena mambo ya skype, nilibaini...
  9. Mshinga

    wadada wa kileo hivi vazi la suti kwa wanaume linawavutia?

    leo bataka nipate mtazamo wa wadada huhu kuhusu hili vazi maarufu duniani? je mnalipenda livaliwe na wapenzi wenu? je linawavutia? wanaume pia mtakuwa na majibu toka kwa wapenzi wenu .ila mimi sijawahi ombwa kutinga suti na mamaa
  10. Mshinga

    Wadada na wanawake siku hizi hongo yao kubwa ni smart phone

    Hawa viumbe gharama yao kubwa ni smart phone. Kila mmoja hataki kupitwa na usasa. Kuna watu nimeshuhudia wakilazimishwa na wapenzi wao kununua hizi simu za kubofya kizenji kama unanawa. haki ya nani wengine wanagombana kabisa. ukizubaa ujue hiyo smart phone ataipata kokote. ukiwahonga smart...
  11. Mshinga

    Kwa wale tuliowahi kupata bahati ya mtende kuwapata watoto wa kishua huku tukiwa low level

    hapa tupo wanaume wachache tu. si jambo la kawaida sana kwa mwanaume wa kupata bahati ya mtende.yaani zali la mentali. leo tulonge kidogo wale tuliowahi kuwapata hawa watoto. sikutaka kuamini pale mtoto mmoja alipojibu rasimi bila hiana kuwa my request ACCEPTED. niliuliza mara...
  12. Mshinga

    Je Mwanaume unavutiwa na mavazi ya aina gani kwa mwanamke

    Mavazi ni sehemu muhimu ya kuonyesha unadhifu wa warembo. Je wanaume wanavutiwa na mavazi yapi? hapa tuseme ukweli tu bila kumung'unya maneno. Wanawake wengi wanapenda sana kuvaa nguo zinazoweza kuvuta hisia kirahisi kwa wanaume. Je hizi nguo ni kweli wanaume hawazipendi ama wanajifanya...
  13. Mshinga

    Ni nyimbo zipi zinakukumbusha machungu ya mapenzi na hata kuzichukia kabisa?

    Wakati ambapo nyimbo ni sehemu muhimu kwa wapenzi wengi kunogesha mapenzi na hata kuwa kumbukumbu ya happy moment wakati wa nyuma katika mapenzi. Upo ukweli mwingine usioepukika katika visa vya watu kuumizwa lakini wakati huo huenda kuna nyimbo zikawa zinaelezea uhalisia wa yaliyokukuta na...
  14. Mshinga

    Warembo wa kinyarwanda Vs wa kichaga wapi wanakimbiza?

    Hawa warembo wa kichaga na hawa watoto wa kagame wanaonekana kuwa warembo kweli kweli. Nina ndoto za kwenda kilimanjaro kutafuta karembo huko. Lakini nina ndoto za kwenda Kigali kutafafta mtoto wa Kagame. Binafsi hawa warembo naona wako na mvuto kweli. Sasa tuache yangu. Je kati ya hawa ni...
  15. Mshinga

    Kasoro zinazohitaji kufanyiwa kazi miss tanzania 2014.

    nimefatilia mashindano kupitia luninga. pamoja na kwamba mimi si mtaalamu wa mambo ya ulimwende lakini yafuatayo ni bora yakafanyiwa kazi. 1. warembo waandaliwe vizuri na wapewe elimu ya mambo mengi ya kijamii kwa sababu wengi kama si wote wameshindwa kujibu maswali kwa usahihi unaotakiwa na...
  16. Mshinga

    Leo tuelezee utamu wa mapenzi

    Ni kitu gani kitamu kushinda vyote, je asali, muwa, fenesi, apple ama mapenzi? Huu utamu wa mapenzi ukoje hasa, unaelezekaje? ni sawa kuulinganisha utamu huu na asali, sukari ama pipi? kama wapendavyo wapenzi kuitana honey, sugar ama sweety? Ama utamu huu ni zaidi ya hapo? Is love making on...
  17. Mshinga

    Kutolewa bikra na tohara kwa wanaume yangefanyika mara kwa mara nani jasri wa kurudia?

    katika stori zitakazokutisha ukiwa mwanaume ni simulizi za machungu na maumivu ya tohara, ni nani jasri akikumbukaa ilivyokuwa kama anaweza kusema hata ingekuwa inarudiwa kila mwaka yeye angefanya? katika stori zinazotisha na kuwafanya wasichana wawe na uoga usio wa kawaida ni pale...
  18. Mshinga

    Naanza kuvaa miwani tinted wasichana wamezidi urembo hapa mjini, nategeka

    unawezaje kuwa mwanaume mwenye roho ngumu hata wanapokatisha wasichana wazuri na warembo mbele yako? huu umekuwa mtihani mkubwa kwangu hasa ukizingatia kuwa kwa sasa wasichana warembo wamejaa kila kona ukikatisha hawa. huu urembo unaleta shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,ni bora zamani mambo ya...
  19. Mshinga

    Wanawake msikengeuke kisa eti mmefika chuoni ama una Degree

    Wale wadada wasioisha kudharau wanaume wasio na elimu ama wao hawawataki ama wanashangaa na kuwacheka rafiki zao wenye wapenzi wasioenda kidato wanapaswa kupata somo kutokakwa mwandishi nguli wa vitabu Eric James Shigongo. ERIC JAMES SHIGONGO ANA MKE MWENYE ELIMU YA MSTERS LAKINI YEYE ALIKOMEA...
  20. Mshinga

    Faida na umuhimu wa kutofanya Tohara

    Kwa tafsiri isiyo rasmi toka kwangu. Faida wanazopata wanaume ambao hawajafanyiwa tohara Benefits enjoyed by males who are intact (not circumcised) 1. Full penis length and circumference. The "prepuce" (foreskin) constitutes 50% or more of the skin system of the penis [1]. If unfolded and...
Back
Top Bottom