Kama wewe ni mfanyabiashara wa dagaa au samaki, upo Dar, mi niko Mwanza, natoa service ya kukutafutia na kukusafirishia kwa njia ya basi, my service charge ni Tzs 35,000.
Kuna sababu moja uliyoitaja na alikuwa anafanya makusudi nayo ni kutokuhudhuria kwenye kesi, alikuwa haudhurii ni mara chache sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naomba msaada wenu, kuna kesi tuliifungua mahakamani juu ya jamaa mmoja mwenye heshima zake na familia, ambaye huko nyuma tulipatana nae kutusaidia kutukopesha kiasi cha milioni 2 ili tuweze kutoa mzigo bandarini,hila tulikuwa hatuna dhamana, tukakubaliana kimuachia gari hili tuutoe huo...
Nina 300,000 kiongozi, uko maeneo gani?, sasa nikinunua hiyo mashine kwako, ndio tosha kuanza biashara au natakiwa kwenda kwao kujirejista?.maana hiyo mashine itakuwa imerejistiwa Kwa jina lako so ndio?
Jamani anayejua link ya website ambayo ninaweza kupata katiba ya Tanzania nitashukuru,itakuwa ni vizuri kama tutaituma jamii forums kuijadili katiba,hasa wale walio nje ya nchi kutumia mtandao kutoa maoni juu ya vipengele vilivyomo kwenye katiba,kama unajua kipengele chochote kwenye katiba...
Kuna Mwana JM hapa ameelezea kero yake ya msongamano wa magari jiji la
Dar es salaam,ni kweli hii ni kutokana kwamba Dar es salaam hakuna Barabara.hizo zilizopo ni kama za kwenda ******.Mimi sasa hivi niko hapa Addis Ababa, Ethiopia kwa masomo, watanzania wengi wakija hapa wanapigwa...
Jamani mimi nimebahatika kuishi nje ya nchi, nimeona jinsi viongozi waliofanya makosa serikalinim jinsi wanavyoshugulikiwa, hawa wakinalowasa serikali ingetakiwa iwasimamishe shughuli zote zinazohusihana na serikali, ubunge pia wangetakiwa wavuliwe wawe wananchi wa kawaida,ni upumbavu kumuacha...
Hawa wanatakiwa kufirisiwa mali zao zote pamoja na pesa kwenye account zao,na wangetakiwa wasipewe zamana, na inatakiwa wasimamishwe shughuli zote za serikali tena wafukuzwe kabisa hata kazi za ubunge,ndivyo wanavyofanya wenzetu huku Ethiopia,kwa miaka mitatu sasa wapo mawaziri wanasota kwa...
Ni kweli sheria hii ni ya kukurupuka,na haitasaidia kabisa kupunguza ajali,bali nikuwazuiwa watanzania kutonunua magari,Mimi niko hapa Addis ababa,ethiopia, ambapo kila gari lazima liwe na valid inspection document ambayo inadumu kwa mwaka mmoja,hii ni kwamba gari lazima ichekiwe kila mara baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.